Mastaa mtegoni, Gamondi akiita 53 Taifa Stars

Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ametangaza kikosi cha awali cha wachezaji 53 kwa ajili ya kuanza maandalizi ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, uteuzi ambao hapana shaka utawaweka katika presha kubwa nyota wa baadhi ya nafasi. Wachezaji hao 53, watapaswa kupunguzwa hadi kubakia 28 ambao wanahitajika…

Read More

Magonjwa nyemelezi yanavyowatesa vijana wenye VVU

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo Januari 30, 2025 nchini Tanzania, hali ya waviu wasiotambua hali zao mpaka kufikia hatua ya kupata magonjwa nyemelezi (Ukimwi) bado ipo huku vijana wakitajwa kuathirika zaidi. Magonjwa nyemelezi yanayosababishwa na virusi vya Ukimwi (VVU) hatua ya juu kitaalamu yakitambulika kama Advanced HIV Diseases…

Read More

Moto wateketeza vibanda 13 soko la Singida

Dodoma. Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza vibanda 13 vilivyomo ndani ya Soko Kuu la Singida na kuharibu mali ambazo bado thamani yake hakijafahamika. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale amethibitisha leo Jumamosi Julai 5, 2025 kwamba sehemu kubwa ya mali za wafanyabiashara ziliokolewa. Moto huo ulianza saa nne usiku na kwamba…

Read More

Wananchi waaswa kuacha kudanganyika na ushirikina

  WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima amewaasa wananchi kuacha kudanganyika na imani za kishirikina kwa imani za kupata mafanikio. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nzega, Tabora … (endelea).  Waziri Dk. Gwajima ameyasema hayo leo tarehe 23 Oktoba, 2024 wakati akizungumza na wananchi, kwenye Wilaya za Igunga na Nzega mkoani…

Read More

Miguel Gamondi azuia dili la Maxi Nzengeli

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ni kama amefunga mjadala juu ya dili la Maxi Nzengeli anayetajwa kutakiwa na Kaizer Chiefs akisema hakuna mchezaji yeyote wa kikosi hicho atakayeondoka, huku akichekelea ushindani wa namba ulivyo mkali ndani ya timu hiyo iliyokuwa uwanjani jana jioni kucheza na TS Galaxy. Hapo awali kupita Mwanaspoti liliandika kuhusu nyota huyo…

Read More

Siku 637 za Manula, Simba, Yanga zaguswa Bara

KIPA Aishi Manula amerejea uwanjani akiea na jezi ya Azam. Kwa mara ya kwanza kocha Florent Ibenge alimtumia katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Desemba 3, 2025 dhidi ya Singida Black Stars na jamaa akatoka na clean sheet baada ya timu hizo kushindwa kufungana. Sasa kama hujui ni kwamba mechi hiyo ilihitimisha siku 637…

Read More