Clara, Masaka waitwa kukiwasha WAFCON 2026

KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania maarufu Twiga Stars, Bakari Shime ametangaza kikosi cha awali kitakachojiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, itakayofanyika Machi 17, 2026 hadi Aprili 3, 2026 nchini Morocco. Kikosi hicho kinajumuisha wachezaji 30 kutoka klabu mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania…

Read More

Maxime alia na mabao Mbeya City

MBEYA City imeendelea kuhaha Ligi Kuu Bara baada ya leo kuambulia tena sare dhidi ya Dodoma Jiji, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo Mecky Maxime akitaja kinachowaangusha akitoa matumaini mapya kwa ajili ya mechi zijazo. Wakati Maxime akitoa kilio kwa kukosa matokeo ya ushindi mfululizo, Dodoma Jiji wao wamechekelea pointi moja kwenye Uwanja wa Sokoine,…

Read More

DKT. MWIGULU AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI WA FAO

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Bi. Beth Bechdol jijini Dar es salaam leo tarehe 3 Februari, 2026. Pamoja na mambo mengine, Viongozi hao wameahidi kuendeleza ushirikiano uliopo baina ya Tanzania na FAO ili kukuza na kuimarisha sekta ya…

Read More

Dk Mwigulu ataja chanzo vijana kukwepa kilimo

Dar es Salaam. Zana duni za kilimo zinazosababisha ugumu wa kazi pamoja na ukosefu wa teknolojia za kisasa ni miongoni mwa sababu za sekta ya kilimo kukabiliwa na uhaba wa nguvukazi hasa vijana. Imeelezwa vijana wameamua kuchana na aina hiyo ya kilimo cha jadi chenye tija kidogo huku kukiwa hakuna teknolojia rafiki, wanawake ndio wanaendelea…

Read More