DKT. MWIGULU: TUENDELEE KUMUOMBEA MHE. LUKUVI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akimfariji, Germina Lukuvi (wa tatu kushoto), mjane wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, William Lukuvi alipokwenda nyumbani kwa marehemu Area D jijini Dodoma kuhani, Machi 26, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza wakati alipokwenda…

Read More

Kocha ataja kinachombeba Diarra | Mwanaspoti

UTOFAUTI wa viwango vya magolikipa wa kigeni na wazawa, umeelezwa upo katika nidhamu ya muendelezo wa kile wanachokifanya uwanjani pamoja na bidii ya kutokuridhika na mafanikio kidogo. Kocha wa makipa wa Mbeya City, Patrick Mwangata, amesema wazawa walio wengi wanaridhika mapema, tofauti na wageni wanaoboresha viwango vyao ambapo kila msimu wanakuja na kitu kipya hali…

Read More

Mwasa: Mbeya City ishuke daraja? Subiri muone kazi

BEKI wa kati wa Mbeya City, David Mwasa amesema licha ya presha wanayopitia ya matokeo yasiyoridhisha, suala la timu hiyo kushuka daraja ni ndoto kwani mechi zilizobaki zinaweza kubadili upepo na kurejesha furaha kikosini. Pia staa huyo wa zamani wa Mbao FC, amesema kwa sasa wanaendelea na matizi kujifua kwa ajili ya mchezo ujao dhidi…

Read More

BALOZI MULAMULA -NITAMKUMBUKA LUKUVI KWA MALEZI YAKE BUNGENI

********* WAZIRI Mstaafu wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, ambaye ni Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama kupitia Umoja wa Afrika, AU, Balozi Liberata Mulamula, ameelezea alivyopokea kwa mshtuko kifo cha Mbunge wa Isimani, William Lukuvi kwa malezi bora aliyowapa walipokuwa bungeni. Akizungumzia…

Read More

Wanawake viongozi watajwa chachu ya ukuaji wa kampuni

Dar es Salaam. Maadili ya uongozi, uaminifu, uwezo wa kujali wafanyakazi na malezi bora vimetajwa kuwa miongoni mwa sifa muhimu zinazowafanya wanawake kuwa nguzo katika ufanisi wa taasisi na kampuni. Wataalamu wanasema kuwapa wanawake nafasi za uongozi si tu kunaleta tija ya kijamii, bali pia kunachochea mafanikio ya kibiashara na kuimarisha mazingira rafiki ya kazi…

Read More

Viwanja vya Wilaya, Mkoa kupewa mwekezaji miaka 15

WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, imeingia mkataba wa miaka 15 na kampuni ya Bahari Leisure kwa ajili ya kuendesha Viwanja vya Wilaya na Mkoa vilivyopo Unguja na Pemba. Akizungumza baada ya makubaliano hayo, Naibu Waziri wa wizara hiyo, Ali Abdulgulam Hussein amesema lengo la kufanya makabidhiano hayo ni kuendesha na kusimamia viwanja…

Read More

SMZ yapigia chapuo matumizi ya teknolojia katika uvuvi

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema inaendelea kutekeleza kwa vitendo sera ya uchumi wa buluu hususani kuongeza thamani ya mazao ya baharini ili kuimarisha kipato kwa wananchi. Naibu Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mboja Ramadhan Mshenga ametoa kauli hiyo leo Machi 26, 2026 wakati akifungua jukwaa la uvuvi Zanzibar, akisema sekta…

Read More