
ONYESHO LA KIHISTORIA LA KUDANSI KUFANYIKA MAKUMBUSHO
Vijana wa Dar es salaam Dances International (DDI) wakifanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi onyesho la kihistoria la kudansi lilotarajiwa kufanyika Katika Ukumbi wa Maonesho wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam (picha na Mussa Khalid) ……………. NA MUSSA KHALID Tamasha la Museum Arts Explosion kwa kushirkiana na Dar es salaam Dances International (DDI)…