Lindi. Wakati Bandari ya Uvuvi Kilwa ikitarajiwa kukamilika mwaka huu, wataalamu kutoka Wizara ya Uchukuzi na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wameunda kamati ndogo ya

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imesema magonjwa ya ngozi yameongezeka kwa wananchi kutokana na mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa hali ya hewa na

Unguja. Katika kuhakikisha rasilimali za uchumi wa buluu zinakuwa na kunufaisha wananchi, vifaranga milioni 2.5 vya samaki na matango bahari vimezalishwa visiwani Zanzibar. Kati ya

Bulyanhulu. Kampuni ya Barrick imewekeza Dola 4.79 bilioni za Marekani(Sh12 trilioni) katika uchumi wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Barrick imeeleza hayo Jumatatu

Shinyanga. Watu wanaofanya kazi katika maeneo yanayozalisha vumbi ikiwemo migodini, mashineni na maeneo mengine kama hayo wametajwa kuwa hatarini kuugua ugonjwa wa Silicosis. Ugonjwa huo

Dar es Salaam. Katika mfululizo wa mapitio ya hukumu ya kesi hii ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali kuongeza kasi katika kuwaletea

KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Twiga Stars kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika Wanawake (WAFCON) inayoendelea nchini Morocco, imechangiwa na

Dar es Salaam. Mabadiliko makubwa katika mfumo wa haki jinai yanaweza kutokea nchini Tanzania ikiwa pendekezo la Chama cha Mapinduzi (CCM) la kuanzisha mamlaka mpya

MABOSI wa Namungo wameamua kumrejesha nyumbani kiungo mnyumbulifu, Lucas Kikoti ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Coastal Union. Kikoti alijiunga na Coastal Union msimu wa 2023/24