Clara, Masaka waitwa kukiwasha WAFCON 2026
KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania maarufu Twiga Stars, Bakari Shime ametangaza kikosi cha awali kitakachojiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, itakayofanyika Machi 17, 2026 hadi Aprili 3, 2026 nchini Morocco. Kikosi hicho kinajumuisha wachezaji 30 kutoka klabu mbalimbali za ndani na nje ya Tanzania…