Fursa za kiuchumi kwa wahitimu Tanzania

Dhana ya uchumi wa ushindani inazinduka katika mazungumzo ya kitaifa, ikitoa mwanga wa tumaini na changamoto kwa vijana wetu wanaomaliza elimu ya juu. Wengi huuliza: Je, wahitimu wetu wana nafasi gani katika uchumi huu unaolenga kuziba pengo la ajira kwa kujenga uchumi wa uvumbuzi na uwezo wa kimataifa? Jibu liko katika ufahamu wa kina wa…

Read More

Waasi DRC watumia droni kushambulia wakiuwa raia 100, maelfu wakikimbia makazi yao

DRC. Serikali ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) imekemea matumizi ya silaha za maangamizi, zikiwemo ndege zisizo na rubani za mashambulizi, ambazo inadai zimekuwa zikilenga raia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki mwa nchi hiyo. Serikali imesema mashambulizi hayo yamesababisha vifo vya watu takribani 100, kujeruhi maelfu na wengine zaidi 200,000 kuhama makazi yao katika…

Read More