Maumivu, upotezaji, mshikamano na tumaini la siku zijazo bora – maswala ya ulimwengu

“Ninajaribu kutolia, lakini siwezi kusaidia. Nimefurahi kuwa na tishu zilizopo, “anakubali Natalia Datchenko, mfanyikazi wa Kiukreni wa Wakala wa watoto wa UN, UNICEFakijitahidi kuzuia machozi yake wakati anasimulia milipuko ambayo iliamsha watu wengi wa Ukrainians miaka mitatu iliyopita, akielezea kuanza kwa mzozo. Pamoja na hisia za mshtuko na hasira, Bi Datchenko pia alihisi kuongezeka kwa…

Read More

DKT. MWAMBA ATETA NA BALOZI WA JAPAN

Na. Josephine Majura WF, Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami, kilichofanyika jijini Dodoma, ambapo walijadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.  Dkt. Mwamba, aliishukuru Serikali ya Japan kwa…

Read More

TRA yamwaga nafasi za ajira 1,596

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza nafasi 1,596 za ajira katika kada mbalimbali. Tangazo la nafasi hizo limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na kusainiwa na Kamishna Mkuu wa mamlaka hiyo. “TRA inapenda kuajiri watumishi wenye sifa, uwezo na maadili kushika nafasi za kazi katika Idara ya Mapato ya Ndani, Forodha na…

Read More

CCM, Chadema, Chaumma ni mwendo wa kufuta nyayo

Dar es Salaam. Vyama vitatu vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga katika mikoa mbalimbali nchini huku vikipishana kwenye maeneo wanayopita wenzao ili kufuta nyayo walizoziacha waliowatangulia kwenye maeneo hayo. Vyama hivyo vya Chaumma, Chadema na CCM, vinaendelea za ziara zao zenye malengo tofauti kwa kukutana na wananchi, kuzungumza nao na kueleza ajenda zao wakati Taifa likielekea…

Read More

UNAMA wasiwasi juu ya vifo vya wahamiaji, 'mbinu za vita' katika Ukingo wa Magharibi, mkuu wa kisiasa wa Umoja wa Mataifa anasisitiza uungaji mkono kwa Somalia – Masuala ya Ulimwenguni

Shambulio hilo linalodaiwa kuwa lilitokea tarehe 14 hadi 15 Oktoba katika eneo la mpaka la Kala Gan katika Mkoa wa Sistan wa Iran karibu na mpaka wa Iran na Pakistan. Shirika la Haalvsh, linaloangazia haki za Baloch nchini Iran, limedai kuwa hadi raia 260 wanaweza kuwa wameuawa au kujeruhiwa. Walakini, takwimu hizi bado hazijathibitishwa. ya…

Read More

Hizi hapa timu 24 zilizofuzu Afcon na mafanikio yao

MECHI za kufuzu Afcon 2025 zimehitimishwa jana Novemba 19, 2024, miongoni mwa timu 24 zilizofuzu ni Taifa Stars. Stars imefuzu michuano hiyo ikiwa ni mara ya nne baada ya kufanya hivyo mwaka 1980, 2019 na 2023. Afcon 2025 ambayo itakuwa ni ya 35 tangu ilipoanza 1957, inatarajiwa kuchezwa nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi…

Read More

Tani 128 za dengu zakamatwa Hanang zikitoroshwa

Hanang. Tani 128 za dengu zilizokuwa zikisafirishwa kutokana wilayani Hanang mkoani Manyara kwenye Singida bila vibali vya stakabadhi ghalani zimekamatwa. Tukio hilo limetokea kwenye geti lililopo kata ya Gehandu mpakani mwa mikoa ya Mara, Singida ikiwa ni operesheni maalumu ya kukagua mazao yasiyopitishwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya…

Read More