Aliyehukumiwa kifo kwa kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru Masenga Mwita, aliyekuwa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa mkewe, Joyce Julius. Masenga alihukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Julai 15, 2022, kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa ikimkabili. Katika kesi hiyo, Masenga alidaiwa kumuua mkewe Februari 9, 2019 katika Kijiji cha…

Read More

Lyanga apiga mahesabu raundi ya pili

MSHAMBULIAJI Danny Lyanga amesema mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara utamjengea heshima kwa kuisaidia  Mashujaa aliyojiunga nayo dirisha dogo akitokea JKT Tanzania ambako hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza. Danny ambaye ni mchezaji mzoefu kutokana na kucheza  timu mbalimbali zikiwamo Geita Gold, Azam FC, Simba, Fanja ya Oman, Tanzania Prisons na sasa Mashujaa alisema…

Read More

IMANI POTOFU ZINAVYO HARIBU UBORA WA PAMBA NCHINI

Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI imezindua rasmi msimu wa ununuzi wa zao la pamba kwa mwaka 2025/26 huku ikitangaza bei elekezi ya shilingi 1,150 kwa kila kilogramu moja ya Pamba safi itakayouzwa na mkulima kwa wanunuzi binafsi na vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) kwa bei ya ushindani ili kuinua uchumi na tija kwa jamii….

Read More

Mwanamke asipoona hedhi damu yake inakwenda wapi?

Dar es Salaam. Umeshawahi kukosa hedhi miezi miwili au mitatu, ukawa unaishi kwa hofu ukidhani una mimba, Je? Ulichukua hatua gani, ulishafikiria ile damu ambayo haikutoka ilienda wapi? Wataalamu wa afya wamesema mwanamke anapokosa hedhi, damu hubaki ndani, hujengeka na wakati mwingine ikisababisha maumivu na hupunguza nafasi ya kushika mimba. Akizungumza na Mwananchi leo Juni…

Read More

DC Timbuka: Tunapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na mafuriko

Siha. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuathiri maeneo mengi nchini, Mkuu wa Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amesema wanapanga namna nzuri ya kuwanusuru wananchi na hatari ya mafuriko. Hata hivyo, amesema wakati Serikali ikiendelea na mipango na mikakati yake, amewomba wananchi nao waendelee kuchukua tahadhari hasa wale wanaoishi katika maeneo hatarishi…

Read More

IOC yatoa tamko uchaguzi TOC

KAMATI ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) imetoa tamko la uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). IOC imeitaka TOC kufanya uchaguzi kabla ya Februari 28 mwakani, kinyume na hapo itajiingiza matatizoni. Kwa mujibu wa taratibu za IOC, nchi wanachama zinapaswa kufanya uchaguzi ndani ya miezi sita baada ya michezo ya Olimpiki kumalizika, msimu huu michezo…

Read More

Mawakili wa Boni Yai wataka upelelezi uharakishwe, wajibiwa

Dar es Salaam. Upande wa utetezi katika kesi ya jinai inayomkabili meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai umeiomba Serikali ikamilishe upelelezi wa kesi hiyo kwa wakati ili kesi hiyo iweze kuendelea na hatua nyingine. Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, mfanyabiashara na mwanasiasa, anakabiliwa na mashtaka mawili ya kuchapishaji…

Read More