
Walimu mbaroni wakidaiwa kutumia tamthilia, mpira kubaka wanafunzi
Mwanza. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu watatu wakiwemo walimu wawili kwa tuhuma za kubaka wanafunzi kwa nyakati tofauti. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Wilbrod Mutafungwa kupitia taarifa aliyoitoa Machi 19, 2025, amedai tukio la kwanza lilitokea Februari 24, mwaka huu saa tano asubuhi ambapo mwanafunzi wa kidato cha tatu (16)…