Simbu atua kishujaa, gwaride likifuata 

MWANARIDHA Alphonce Felix Simbu ametua nchini usiku wa kuamkia leo saa 9:00 alfajiri kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akibeba medali ya dhahabu aliyonyakua kwenye mashindano ya Dunia ya Riadha yaliyofanyika Tokyo, Japan. Simbu ambaye ameweka historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda kwenye mbio za marathon, alipokelewa kwa shamrashamra na…

Read More

Vigogo wa Iran waliouawa na Marekani-Israel

Kufuatia kuthibitishwa kwa mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, vyombo vya habari vya serikali nchini humo vimethibitisha kuuawa kwa viongozi kadhaa waandamizi wa serikali na familia ya Khamenei. Miongoni mwa waliouawa katika shambulizi la Jumamosi ni pamoja na Ali Shamkhani, mshauri wa usalama wa Khamenei, Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mkuu wa Majeshi ya…

Read More

UN yaomboleza mwanadiplomasia wa katiba aliyegeuka kuwa mwanadiplomasia mkuu wa mgogoro, Nicholas Haysom – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanasheria huyo mashuhuri na mwanadiplomasia kutoka Afrika Kusini aliteuliwa Januari 2021 na alikuwa na taaluma ya kimataifa kwa muda mrefu akizingatia utawala wa kidemokrasia, mageuzi ya kikatiba na uchaguzi, upatanisho na kusaidia michakato ya amani. Pia alikuwa Mshauri Mkuu wa Kisheria katika kipindi chote cha urais wa Nelson Mandela hadi 1999. Hapo awali Bw. Haysom…

Read More

WANANCHI WAHAMASISHWA KUCHAMBUA NA KUREJELEZA TAKA KUELEKEA SIKU YA TAKA SIFURI DUNIANI

………. Dar es Salaam, Machi 20, 2026 Wananchi nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchambua taka ngumu majumbani na katika maeneo yao ya kazi, badala ya kuzitupa ovyo, ili kulinda mazingira na kuongeza thamani ya taka hizo kiuchumi. Wito huo umetolewa na Balozi wa Mazingira wa kujitolea nchini, Moses Mwakibolwa, wakati akizungumza kuelekea maadhimisho ya Siku…

Read More

Kampeni ya CCM Kawe yaleta kicheko kwa wauza nyama choma, vyakula

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa chakula, vinywaji baridi, nyama choma, na vitafunwa katika viwanja vya Tanganyika Packers wameeleza kufurahishwa na mauzo mazuri kufuatia umati mkubwa wa watu  uliokusanyika kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wamefurika katika…

Read More

OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA

 :::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…

Read More