Chagua amani dhidi ya machafuko, Guterres anahimiza anapoweka vipaumbele vya mwaka wa mwisho – Masuala ya Ulimwenguni

2026 “ni tayari kuchagiza hadi kuwa mwaka wa mshangao wa mara kwa mara na machafuko,” yeye aliiambia waandishi wa habari huko New York. Bw. Guterres – ambaye alifunzwa kama mwanafizikia kabla ya kuanza maisha ya umma – alisema kwamba wakati wa mabadiliko makubwa, anarudi kwenye kanuni zisizobadilika zinazoelezea jinsi nguvu zinavyofanya kazi. Mkuu wa UN…

Read More

NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI

Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC).  Tangu mwaka 2021, Jeshi limekuwa likiendeleza mashamba haya kwa kutumia rasilimali za ndani, likikodisha mitambo na kusawazisha mashamba ili kuongeza tija ya uzalishaji wa mpunga. Katika…

Read More

CHONGOLO AELEKEZA MAKAMISHNA WA TCDC MAMBO SITA YA KUZINGATIA KUIMARISHA USHIRIKA

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) ameelekeza mambo sita muhimu kuzingatia ili ushirika kuimarika zaidi na kuleta tija kwa wanaushirika. Akizungumza tarehe 30 Januari 2026 jijini Dodoma wakati akizindua Bodi ya Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Waziri Chongolo amesema Kamisheni ihakikishe inaleta mageuzi ya kidigitali ili takwimu sahihi zipatikane kwenye…

Read More

MAKAMISHNA WA TCDC WATAKIWA KUIMARISHA USHIRIKA

……………….. Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) ameelekeza mambo sita muhimu kuzingatia ili ushirika kuimarika zaidi na kuleta tija kwa wanaushirika. Akizungumza tarehe 30 Januari 2026 jijini Dodoma wakati akizindua Bodi ya Makamishna wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Waziri Chongolo amesema Kamisheni ihakikishe inaleta mageuzi ya kidigitali ili takwimu sahihi zipatikane…

Read More

Mheshimiwa Abdullah Akutana na Balozi wa Urusi

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amekutana na kuzungumza na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan aliyemtembelea Ofisini kwake Zanzibar kwa ziara ya kikazi tarehe 26 Januari ,2026. Viongozi hao wamejadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa uwili na kutilia mkazo kuimarisha Utalii, Nishati, Elimu na Utamaduni na…

Read More

WAZIRI SANGU AKUTANA NA WAZIRI WA KAZI QATAR

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Saeed bin Samikh Al Marri, Jijini Riyadh, Saudi Arabia. Katika mazungumzo ya viongozi hao, pande zote zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kazi na ajira,…

Read More

BoT: HATUUZI DHAHABU KUFADHILI MIRADI YA SERIKALI

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizania ya akiba ya fedha za kigeni na siyo kufadhili miradi ya kimkakati ya serikali. Akizungumza katika mkutano na vyombo vya habari katika ofisi za BoT jijini Dar es Salaam,…

Read More

SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA GEF KATIKA KULINDA MAZINGIRA

………………… Dodoma Serikali ya Tanzania inatambua mchango mkubwa wa Mfuko wa Mazingira Duniani (Global Environment Facility, GEF) katika ajenda ya maendeleo ya taifa, hususan katika kuunga mkono juhudi za Serikali za uhifadhi wa mazingira na ustahimilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamesemwa Dodoma Januari 30,2026 na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt….

Read More