
Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe
Tanga. Siku tisa tangu yalipotokea mauaji ya Jonais Shao, aliyekuwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, pamoja na mwanawe na msichana wake wa kazi za ndani, Jeshi la Polisi limesema linawashilikia watuhumiwa sita. Tukio hilo la mauaji ya Jonais (46), mwanawe Dedan Shao (8), mwanafunzi wa darasa la tatu na…