Kalambo achungulia dirisha dogo mapema

KIPA wa Geita Gold, Aaron Kalambo amesema licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho ana uwezo pia wa kuondoka Desemba mwaka huu wakati wa dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku nia yake ni kucheza Ligi Kuu Bara. Kalambo aliyejiunga na kikosi hicho akitokea Dodoma Jiji, alisema, licha ya malengo hayo aliyojiwekea bado…

Read More

Utegemezi wa Akili Unde sasa janga kwa vijana

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa ambapo matumizi ya akili unde (AI) yameshika kasi, jamii imetahadharishwa kuwa kuna hatari ya kizazi kijacho kikawa na maarifa mengi, lakini kikakosa uwezo wa kuishi pamoja, kuelewana na kushirikiana kijamii. Angalizo hilo  limekuja ikiwa ni matokeo ya kushuka kwa kiwango cha maingiliano ya ana kwa ana miongoni mwa vijana…

Read More

SERIKALI INAWAJIBU WA KULINDA RASILIMALI ZA ASILI : DKT. MASANJA

Serikali ina wajibu wa kutunga sheria zinazolenga kulinda rasilimali za asili ikiwemo; misitu,wanyamapori.ardhi, na vyanzo vya maji dhidi ya uharibifu, unaofanywa na shughuli za kibinadamu ikiwa na lengo la kuhakikisha kuwa rasilimali hizi zinatumika kwa manufaa ya taifa nzima. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Dkt.Thomas Masanja wakati…

Read More

WALIOPOTEZA KITAMBULISHO KUPIGA KURA NA NIDA

Na, Seif Mangwangi, Arusha Tume huru ya uchaguzi katika Jimbo la Arusha mjini, imewataka wananchi waliopoteza kitambulisho cha mpiga kura  kufika kwenye kituo cha kupigia kura na mojawapo  ya kitambulisho ikiwemo cha NIDA, hati ya kusafiria au leseni ya udereva na hapo ataruhusiwa kupiga kura. Wito huo umetolewa leo Oktoba 19, 2025 na msimamizi wa…

Read More

Mitambo ya umeme Kidatu na Mtera kufanyiwa ukarabati

Ifakara. Katika kuhakikisha kuwa Umeme unapatikana kwa uhakika Naibu Waziri Mkuu Dk Doto Biteko amesema Serikali imeanza ukarabati wa mitambo ya kufua umeme katika kituo cha Kidatu na Mtera mkoani Dodoma. Dk Biteko amesema hayo leo Jana Mei 31, 2024 wakati wa uzinduzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme kwenye gridi ya Taifa  kilichopo…

Read More

TRA WAAGIZWA KUFUATA SHERIA NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akijibu swali bungeni jijini Dodoma.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano, WF – Dodoma) ……………. Na Farida Ramadhani, WF – Dodoma Serikali imemwagiza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha kuwa watumishi wa Mamlaka hiyo wanafuata taratibu na sheria zilizowekwa. Agizo hilo limetolewa bungeni jijini Dodoma na…

Read More

Tanzania itakavyopunguza foleni katika miji na majiji

Dodoma. Serikali imetangaza mpango mahususi wa kukabiliana na msongamano wa magari katika majiji matano na miji mitatu nchini ikiwamo upanuzi wa barabara zinazoingia katika maeneo hayo. Misururu ya magari imekuwa kawaida kuonekana asubuhi na jioni wakati watu wakielekea na kutoka kazini. Foleni zimekuwa ni za kawaida katikati ya majiji au miji inayokua. Kiafya, foleni pia…

Read More

Rekodi kali za kuruka zinazosubiri kuvunjwa Olimpiki

WANAMICHEZO 10,500 watakuwa katika Jiji la Paris, Ufaransa kwa ajili ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo makubwa ya michezo duniani washiriki kutoka zaidi ya nchi 200 watakuwa nusu wanaume na nusu wanawake ambao watashindana katika michezo 32. Kwa kawaida…

Read More