
Waokota taka hatarini kupata magonjwa haya
Dar es Salaam. Kukaa sehemu isiyo na hewa, kutumia dawa za kulevya ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kuwa chanzo cha maambukizo ya ugonjwa wa kifua kikuu, kwa watu wanaojihusisha na shughuli za kuokota taka mijini. Hayo yamebainishwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama na afya kwa waokota taka, iliyoandaliwa na Taasisi ya Uhifadhi na Utunzaji…