Waokota taka hatarini kupata magonjwa haya

Dar es Salaam. Kukaa sehemu isiyo na hewa, kutumia dawa za kulevya ni miongoni mwa sababu zilizotajwa kuwa chanzo cha maambukizo ya ugonjwa wa kifua kikuu, kwa watu wanaojihusisha na shughuli za kuokota taka mijini. Hayo yamebainishwa kwenye semina ya mafunzo ya usalama na afya kwa waokota taka, iliyoandaliwa na Taasisi ya Uhifadhi na Utunzaji…

Read More

Pesa yako inavyoua afya yako

Katika ulimwengu wa sasa, pesa ni moja ya rasilimali muhimu zaidi katika maisha ya kila siku. Zina nguvu kubwa ya kubadilisha hali ya maisha, kutimiza ndoto, na kuhakikisha ustawi wa kifamilia. Hata hivyo, kama ambavyo pesa zinaweza kuwa na manufaa, pia zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya yako ikiwa zitatumika vibaya. Watu wengi wanaweza…

Read More

Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri

Wapendwa katika Kristo Bwana Yesu asifiwe! Leo tunaangazia somo muhimu na lenye changamoto kwa kila mmoja wetu: Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri. Mara nyingi utajiri huonekana kwa jicho la mashaka ndani ya kanisa, lakini Biblia haikatazi utajiri bali inatuonyesha jinsi ya kuupata kwa njia ya haki na jinsi ya kuutumia kwa utukufu wa Mungu….

Read More

LSF NA NORTH – SOUTH COOPERATION ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO LONGIDO.

Longido, Arusha 08 Oktoba 2024. LSF, kwa kushirikiana na wadau wake NORTH-SOUTH COOPERATION kutoka Luxembourg, imekamilisha mradi wa miaka miwili unaojulikana kama ‘Wanawake Tunaweza,’ ambao umeleta mafanikio makubwa katika kuwawezesha wanawake na watoto wa kike kutoka jamii ya Kimasai wilayani Longido. Mradi huu, ulioanza kutekelezwa mwaka 2022, umelenga kuwawezesha wanawake na wasichana kijamii na kiuchumi…

Read More

Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na Mradi waUboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) kwa kuandaliwa mipango ya matumizi yaardhi ya vijiji. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Bi. Judith Nguli wakati wa kujadiliutekelezaji wa Mradi huo katika ukumbi wa Halmashauri ya Mvomero, tarehe 22 Aprili 2024 Mkoani…

Read More

MWONGOZO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAIVA

  Na John Bera – DODOMA   WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini  imeanza kuandaa Mwongozo  wa Ufuatiliaji  na Tathmini wa Wizara  utakaotumiwa kwa ajili ya shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini ya Sera, Mipango , Programu na Miradi inayotekelezwa na Idara, Vitengo na Taasisi za Wizara.   Akizungumza kwenye ufunguzi…

Read More

Kisa gharama, Pamba nusura iuzwe ipigwe bei

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba amesema wanakabiliwa na changamoto ya gharama kubwa za uendeshaji wa timu ya Pamba Jiji jambo ambalo lilisababisha msimu ulioisha watake kuiuza baada ya kutofanya vizuri. Kibamba alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa katika mkutano na wadau wa michezo ulioandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said…

Read More