Sababu theluji kupungua Mlima Kilimanjaro – 1

Kilimanjaro. Desemba, 2024, nilipanda Mlima Kilimanjaro, ambao theluji yake inapungua kadri miaka inavyosonga. Sababu kubwa ikitajwa ni mabadiliko ya tabianchi, na baadhi ya watu wanahusisha na matukio ya moto mlimani. Safari ilianza Marangu ambako nilikatiza msitu wenye miti mingi ya asili (msitu mnene). Kulingana na msimu, kulikuwa na mvua. Kutoka Mandara, niliingia eneo la uwanda wa…

Read More

Muda unakaribia kama tarehe ya mwisho ya 2030 inakaribia kwa mpango wa Umoja wa Mataifa kwa siku zijazo nzuri – Masuala ya Ulimwenguni

Mwaka 2024 Jukwaa la ngazi ya juu la Siasa kuhusu Maendeleo Endelevu (HLPF) itafuata kuanzia Septemba iliyopita Mkutano wa SDGiliyofafanuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo kama “wakati wa umoja” kugeuza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika ukweli. Mawaziri wa Serikali, wanaharakati na wanachama wa mashirika ya kiraia watakutana na kujadiliana wakati…

Read More

Twiga Stars yatakata, yanusa WAFCON

Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam leo. Matokeo hayo yanaifanya Twiga Stars ihitaji ushindi au sare…

Read More

Wananchi waaswa kuacha kudanganyika na ushirikina

  WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima amewaasa wananchi kuacha kudanganyika na imani za kishirikina kwa imani za kupata mafanikio. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nzega, Tabora … (endelea).  Waziri Dk. Gwajima ameyasema hayo leo tarehe 23 Oktoba, 2024 wakati akizungumza na wananchi, kwenye Wilaya za Igunga na Nzega mkoani…

Read More

Ecua azua la kuzua Yanga, Mfaransa afunguka

KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu hiyo. Ecua ambaye hivi karibuni akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Chad alifunga bao dhidi ya Ghana kisha kuwapa jeuri kubwa mashabiki wa Yanga, ameshtua kutokana na uamuzi alioufanya…

Read More

Wananchi Ubungo walilia barabara | Mwananchi

Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wa Mpigi Magohe, Wilaya ya Ubungo wameikumbusha Serikali kutekeleza ahadi ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kwa kiwango cha lami iliyotoa ili kuwaondolea adha ya usafiri inayowasumbua. Ahadi ya ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 9.55 yenye kero hususan nyakati za mvua ilitolewa Mei 2024 na…

Read More

Matarajio Zanzibar bajeti ya Serikali leo

Wananchi na wataalamu mbalimbali visiwani humu wamekuwa na maoni tofauti kuhusu bajeti ya Serikali inayotarajiwa wakitaka ijikite katika kuinua uchumi wa mwananchi mmojammoja, kugusia msamaha wa kodi wa biashara changa na ushirikishwaji wa sekta binafsi.. Mtaalamu wa masuala ya uchumi na mshauri binafsi katika sera na uchumi, Dk Twahir Mohamed Khalfan amesema bado kuna kazi…

Read More