Wakaguzi wa Ndani Wataka Sheria Maalumu ya Kuongoza Taaluma Yao
Na Mwandishi Wetu, Arusha. CHAMA cha Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA Tanzania) kimeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kuandaa sheria mahsusi ya ukaguzi wa ndani ili kuimarisha utendaji kazi wao, kuongeza uwajibikaji na kupunguza mianya ya matumizi mabaya ya rasilimali za umma. Akizungumza jana jijini Arusha kwenye mkutano wa 12 wa viongozi wa mashirika na taasisi…