Waandishi, wadau wa habari wamlilia Sharon, wamtaja mwalimu aliyeondoka

Dodoma. Mwandishi mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia. Sharon amekutwa na umauti alfajiri leo Agosti 19, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu. Kifo chake kimepokewa kwa mshtuko na wanahabari wenzake na wadau wa habari, ambao wamemweleza kama mtu aliyekuwa mwalimu na kiongozi wa kipekee katika…

Read More

Cheza na Ushinde Sloti ya Juicy Fruits Kasino ya Meridianbet

Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa wataalamu ‘Pragmatic Play‘. Mchezo huu wa sloti, utakutana na alama za ushindi kama vile wilds, ambayo pia huonekana kama alama kubwa. Vilevile kuna mizunguko ya bure inayofuata mipangilio minne ya nguzo. Juicy Fruits Multihold ni mchezo wa kasino mtandaoni ambao una nguzo tano zilizopangwa…

Read More

PROF. SHEMDOE: MAAZIMIO YA MKUTANO WA KIMATAIFA WA SAYANSI WA TAASISI YA NELSON MANDELA YAWEKWE KATIKA   DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO  2050.

  Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akiongea na washiriki wa  Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Upeo wa Kitropiki Uendelevu wa kilimo, mazingira na teknolojia ulioandaliwa na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa mkutano huo Julai 17,2024 katika Hoteli ya Mount…

Read More

TLSB kupeleka huduma za kidijitali Wilaya ya Rombo

Rombo. Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imesema kutokana na ukuaji wa teknolojia nchini, inalenga kupeleka huduma za maktaba za kidijitali katika jamii, hasa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, ili kuendana na mahitaji ya wasomaji wa sasa. Hatua hiyo imekuja baada ya TLSB kufanya mabadiliko ya kidijitali ambayo yatafanya huduma hizo kuwafikia Watanzania…

Read More

WAZIRI NDEJEMBI AELEKEZA WATUMISHI WA ARDHI WASIO WAADILIFU KUCHUKULIWA HATUA

Eleuteri Mangi, Dar es Salaam Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemwelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kumchukulia hatua kali za kinidhamu Afisa Ardhi Mwandamizi Gaudence Mtalo kwa kusababisha mkanganyiko kwa kukosa uadilifu katika kutekeleza majukumu yake. Waziri Ndejembi ametoa maelekezo hayo Agosti 15, 2024 jijini Dar es salaam wakati…

Read More

Utata wa Gamondi Yanga | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga chini ya Rais wa timu hiyo, Injinia Hersio Said umeendelea kufanya vikao na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi aliyemaliza mkataba ili asalie kikosini, huku Muargentina huyo akipiga hesabu za kuondoka kwenda kutafuta changamoto nje ya klabu hiyo. Yanga ilimsainisha Gamondi mkataba wa msimu mmoja akichukua mikoba ya Mtunisia Nasredine Nabi…

Read More

QPR ya England yamalizana na beki Mbongo

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania. QPR imemsajili beki huyo wa kulia raia wa Australia kutoka Macarthur FC ya Sydney kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kumalizika Juni 30 mwaka huu. Adamson, mwenye umri wa…

Read More

Gomez aanza na sare Wydad, bao alilotupia lakataliwa

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes katika mechi ya Ligi Kuu nchini humo maarufu Batola Pro. Gomez alitambulishwa na vigogo hao wa Afrika,  Januari 31 mwaka huu akitokea Fountain Gate aliyokuwa akiitumiki kwa mkopo kutoka…

Read More

Samatta aanza na asisti dk 90 za kwanza PAOK

BAADA ya kupita mwezi mmoja na siku sita bila ya nyota wa kitanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kucheza akiwa na PAOK ya Ugiriki, hatimaye mkali huyo alipewa dakika 90 uwanjani wakati timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 7-1 katika mechi ya hatua ya 16 Bora ya michuano ya Greek Cup Betsson. PAOK…

Read More