Kilichoiponza Kirumba chatajwa, Mtanda atoa siku saba

Baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kutumika kwa mechi mbalimbali, imebaibishwa kuwa eneo la kuchezea (pitch), kukosekana kwa maji, huduma ya vyoo, kiyoyozi na upungufu wa mabenchi katika vyumba vya wachezaji (dressing room) ndiyo chanzo cha adhabu hiyo. Hayo yameelezwa leo Machi 11, 2025 na Mratibu…

Read More

Utunzaji wa amani wa UN unaweza kufanya kazi katika ulimwengu uliovunjika ikiwa kuna utashi wa kisiasa – maswala ya ulimwengu

Jean-Pierre Lacroix wa Secretary na Katibu Mkuu Marta Pobee alielezea baraza hilo juu ya vipaumbele vya kurekebisha shughuli za amani za UN ili kukuza suluhisho za kisiasa. Walisisitiza hitaji la haraka la baraza na ushirika mpana wa UN kushinda mgawanyiko na kuimarisha msaada kwa shughuli za amani kama majukwaa ya kipekee ya kuendeleza diplomasia katika…

Read More

Akutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake

Arusha. Harufu kali mithili ya mzoga wa mnyama iliyotoka ndani ya nyumba ya John Lema (57), mkazi wa Mtaa wa Sokoni II jijini Arusha, imesaidia jamii inayozunguka nyumba yake kufichua kifo chake ambacho chanzo chake bado hakijajulikana. Inasadikika Lema amekufa siku nne zilizopita akiwa ndani ya nyumba yake ambayo anaishi peke yake, hivyo mwili wake…

Read More

Prisons yailiza Pamba Jiji Sokoine

Baada ya kupoteza mechi iliyopita kwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga, Tanzania Prisons imemalizia hasira zao kwa Pamba Jiji kufuatia ushindi wa bao 1-0. Ushindi huo unakuwa wa kwanza katika mechi mbili kwa kocha Shaban Mtupa aliyekabidhiwa majukumu kwa muda wakati aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Mbwana Makata akisubiri hatma yake na mabosi. Katika…

Read More

Sababu Onyango kutotangazwa Dodoma Jiji

IMEELEZWA kwamba sababu ya uongozi wa Dodoma Jiji  kuchelewa kumtangaza beki Joash Onyango ni kutaka mchezaji huyo amalizane kabisa na Singida Black Stars aliyoichezea msimu uliopita. Onyango bado ana mkataba na Singida Black Stars, hivyo Dodoma Jiji inataka imchukue kama mchezaji huru na siyo kucheza kwa mkopo kama ilivyokuwa awali. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji,…

Read More

Special Olympics Tanzania yaendesha mafunzo kwa walimu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Taasisi inayojihusisha na michezo kwa watu wenye ulemavu wa akili(Special Olympics Tanzania), inaendesha mafunzo kwa walimu kutoka Manispaa ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua mahitaji ya wanafunzi wenye ulemavu wa akili katika kushiriki michezo jumuishi na wenzao. Mtendaji Mkuu wa Special Olympics Tanzania,…

Read More

VIDEO: Serikali yakana kuipa bahari, madini Korea Kusini

Dar es Salaam. Serikali imefafanua juu ya mkopo wa Sh6.7 trilioni uliosainiwa kati yake na Korea Kusini, ikieleza kuwa haijatoa sehemu ya bahari wala madini ya kimkakati. Ufafanuzi huo umetolewa leo Juni 4, 2024 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi wakati akizungumza na waandishi wa habari kufuatia kuwapo kwa taarifa zinazosambaa katika mitandao ya…

Read More

Vibali bado changamoto Fountain | Mwanaspoti

KOCHA wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema ingawa timu hiyo imepata ushindi wa kwanza bado vibali kwa baadhi ya wachezaji imekuwa changamoto kubwa kwao. Wikiendi iliyopita timu hiyo ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Alliance Girls na kuwafanya watoke mkiani hadi kusogea nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi wakifikisha pointi tatu baada…

Read More

Mwisho wa mwaka na wajibu wa wazazi kwa watoto wao

Dar es Salam. Kadiri mwaka unavyokaribia ukingoni, familia nyingi hujipanga kukabiliana na majukumu ya kipindi cha likizo pia lakini zikiwaza namna wanafunzi watakavyorejea shuleni. Ila pia ilumbukwe kuwa hiki ni kipindi ambacho watoto hupata muda wa kutosha kuwa nyumbani, hivyo wazazi wanapaswa kupanga kwa makini namna ya kuwasaidia ili waendelee kukua kimawazo, kitabia na kimaadili….

Read More