Maboresho ya Mahakama Yarahisisha Upatikanaji wa Haki kwa Wananchi

Katika jitihada za kuboresha upatikanaji wa haki kisheria, Mahakama imefanya maboresho ya kanuni ambazo zimerahisisha mchakato wa kupata haki kwa wananchi, hususan kwa wajasiriamali wadogo. Maboresho haya yanapanua wigo wa wasuluhishi na kupunguza gharama za mashauri, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa haki kwa makundi yote. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Kituo…

Read More

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

Benki ya Akiba yawatunuku tuzo wateja wake

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imeadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa kutoa tuzo kuthamini mchango wa wateja wake katika utoaji huduma za kibenki. Tuzo hizo zimetolewa Oktoba 9,2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba, Silvest Arumasi, katika hafla iliyofanyika katika tawi la Ubungo la benki hiyo. Arumasi amewashukuru Watanzania…

Read More

‘Mifumo ya maisha inachochea kukosa maadili’

Unguja. Imeelezwa kuwa mifumo ya maisha inachangia kuporomoka kwa maadili kwa vijana na kuleta uvunjifu wa amani. Akizungumza wakati wa utoaji wa vyeti kwa vijana waliohitimu mafunzo ya sayansi ya malezi ya nafsi na kuzindua programu ya tuishi kizamani Februari 23, 2025 Mkurugenzi Mkuu  Ofisi ya Mufti Mkuu Zanzibar, Sheikh Abbu Simba amesema kilio kikubwa…

Read More

FCC YAENDELEA KUTIMIZA MAAGIZO YA RAIS SAMIA

 ::::: Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Nchini (FCC)Bi.Hadija Juma Ngasongwa amesema wawekezaji wa ndani ya nchi wanasimamiwa na sheria madhubuti zinazosimamia uwekezaji ili kusaidia kulinda na kuimarisha biashara zao. Taarifa hiyo ameitoa leo Julia 4,2025 Jijini Dar es salaamu alipofanya ziara ya kutembelea banda la Wizara ya Viwanda na Biashara katika maonyesho ya…

Read More

Tanzania, Msumbiji kuanzisha kituo kimoja cha forodha

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi wamekubaliana kuanzisha sasa kituo kimoja cha forodha Mtambaswala kitakachohamasisha biashara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumanne wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi Ikulu jijini Dar es…

Read More