SBL WASHIRIKIANA NA CHUO CHA TAIFA CHA UTALII KUBORESHA UJUZI WA UKARIMU KWA VIJANA WA KITANZANIA

Zaidi ya wanafunzi 100 wa ukarimu watanufaika na fursa za mafunzo zilizoboreshwa ambazo zitazidi kuimarisha sekta inayokua kwa kasi ya utalii na ukarimu nchini Tanzania. Serengeti Breweries Limited (SBL) imesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) katika kupiga hatua muhimu katika kuboresha mafunzo ya ujuzi wa ukarimu. Ushirikiano huu unalenga…

Read More

Wawili wakutwa na maambukizi ya Mpox Tanzania    

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imesema imewabaini watu wawili kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox. Hii ni mara ya kwanza ugonjwa wa Mpox kuingia nchini. Taarifa hiyo inakuja siku tatu tangu picha mjongeo iliyosambaa katika makundi ya sogozi, ikionyesha watu wawili wakiwa wamejirekodi na kudai kuwa na…

Read More

Benki ya NMB yatoa msaada wa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi milioni 65 kwa mkoa wa Arusha, yajizatiti kuendeleza sekta ya utalii

.      Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 65 zitakazosaidia kuimarisha ulinzi mkoani Arusha. Mchango huo ambao umetolewa kwa Jeshi la Polisi mkoani humo unaendana na mpango mkakati wa benki hiyo wa kuendeleza sekta ya utalii unaolenga kuimarisha mifumo endelevu ya ikolojia ya utalii….

Read More

Jesca kinara wa asisti BDL

WAKATI msimu wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2024, ukikaribia kumalizika, Jesca Lenga wa DB Troncatti   ndiye aliyekuwa kivutio kwa utoaji wa asisti tangu ligi hiyo ilivyoanza. DB Troncatti ilitolewa na DB Lioness katika mchezo wa nusu fainali katika michezo 2-1 na mchezo wa kwanza DB Lioness ilishinda kwa pointi 64-45,…

Read More

Gamondi adai Pacome bado, mwenyewe afunguka

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amemtazama nyota wake Pacome Zouzoua kwa dakika 20 alizompa katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Tabora United na kusema bado anahitaji muda wa kurejea katika makali yake. Pacome alianza kuomba kutumika tangu mchezo wa watani wa jadi Aprili 20, mwaka huu kwenye Uwanja wa…

Read More

Kigogo TFF amaliza utata ishu ya Inonga

SAA chache tangu beki wa kati wa Simba, Henock Inonga kufunguka kwamba mkataba alionao na klabu hiyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu, huku mabosi wa Msimbazi wakimkomalia kwamba bado ni mali yao hadi mwakani, lakini kigogo mmoja wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameamua kumaliza utata wa jambo hilo. Inonga aliyesajiliwa na Simba misimu mitatu…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR, AMEFUNGUA KAMBI YA MATIBABU NA UCHUNGUZI WA AFYA YA KUMUENZI HAYATI ALI HASSAN MWINYI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Familia na Wananchi katika kumuombea dua Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi, kabla ya kufunguwa Kambi ya Matibabu na Uchunguzi wa Afya, unaofanywa na Madaktari Bingwa kutoka Nchini Kenya, ikiwa ni…

Read More