WANAGDSS WATAKA WATUHUMIWA WANAODAIWA KUMBAKA BINTI WA YOMBO WASHUGHULIKIWE

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wamepaza sauti zao kuhakikisha haki inatendekea kwa washtakiwa wanadaiwa kumbaka kwa kundi na kumlawiti binti aliyejitambulisha anatokea Yombo Dar es Salaam ambapo mpaka sasa kesi bado ipo mahakamani na watuhumiwa wameshakamatwa. Wakitoa maoni yao leo Agosti 21, 2024 katika Semina za Jinsia na Maendeleo ambazo hufanyika kila Jumatano, wanaharakati…

Read More

Viongozi CWT watakiwa kuacha uanaharakati

Kibaha. Mbunge wa Kibaha Mjini, Mkoa wa Pwani, Selvestry Koka amekemea vitendo vya uanaharakati ambao umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mkoani humo, kwamba huchochea uvunjifu wa amani. Mbunge huyo amewataka viongozi wapya wa chama hicho kujiepusha na vitendo hivyo na badala yake waungane na Serikali kutatua changamoto zinazowakabili…

Read More

Samsung Galaxy S24 Ultra Set to Enhance and Open up the Olympic Broadcast and Viewer Experience Like Never Before at the Olympic Games Paris 2024.

   In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games.   SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today announced its plans alongside the International Olympic…

Read More

Watano wafariki dunia Songwe, ajali ya lori na bajaji  

Songwe. Watu watano wamefariki dunia mkoani Songwe baada ya kutokea ajali iliyohusisha lori aina ya Scania na bajaji. Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Songwe, Augustino Senga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, jana, Ijumaa Novemba 22, 2024 saa 3:15 usiku,  ambapo bajaji ilikuwa ikitokea barabara ya mji mdogo wa Mpemba ikielekea Tunduma. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Novatus Miroshi anapita mule mule kwa Samatta

NI ndoto ya vijana wengi wa Kitanzania kufika levo ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ya kucheza Ligi kubwa barani Ulaya kutokana na rekodi aliyoweka. Akiwa Mtanzania wa kwanza kuweka rekodi mbalimbali anatajwa kuwa ndiye mchezaji mwenye mafanikio makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini akiwa amezitumikia klabu mbalimbali kama TP Mazembe, Aston Villa na Genk…

Read More

MBUNGE LUTANDULA KUZIKA ZIMWI LILILOKUNYWA DAMU ZA WATOTO 18

 . …. CHATO HATIMAYE Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini, Pascal Lukas Lutandula, ameamua kupambana na zimwi la vifo vya wanafunzi wa shule ya msingi Ibondo ambao awali walikuwa wakipoteza maisha kutokana na ajali za barabarani. Kwa mujibu wa Mbunge huyo, wanafunzi takribani 18 wamepoteza maisha wakati wakivuka barabara kuu ya Bwanga kwenda Mwanza, wakati…

Read More

Madereva wa malori wadai kuvamiwa DRC

Dar es Salaam. Madereva wa malori kutoka nchi nne wamedai kuvamiwa na watu waliovalia sare za kijeshi walipokuwa wakisubiri kuvuka mpaka kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Zambia, katika eneo la Kasumbalesa, Lubumbashi. Uvamizi huo umetokea usiku wa kuamkia jana Jumapili, Februari 23, 2025 takriban kilometa 10 kabla ya kufika mpakani, huku malori…

Read More