Mazishi ya Jenista yaibua kero ya barabara Mbinga

Mbinga/Dar.  Wakati aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama akihitimisha safari yake ya mwisho duniani kwa kuzikwa, kero ya barabara imeibuliwa kwenye maziko yake na kutafutiwa ufumbuzi. Jenista aliyefariki dunia Alhamisi, Desemba 11, 2025 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma, kwa ugonjwa wa moyo, amezikwa leo Jumanne, Desemba 16, 2025 katika Makaburi ya Senta…

Read More

MHE. NDEJEMBI APONGEZA MAFANIKIO NSSF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi, ametembelea banda la NSSF katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) maarufu kama SabaSaba na  kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutokana na kupata mafanikio mbalimbali…

Read More

Ruksa ACT-Wazalendo kupinga uteuzi wabunge viti maalumu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Kuu Dodoma, imeridhia maombi ya Chama cha ACT–Wazalendo ya kufungua shauri la mapitio ya kimahakama kupinga uteuzi wa wabunge wa viti maalumu uliofanywa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Uamuzi huo umetokana na shauri lililofunguliwa na Wadhamini Waliosajiliwa wa ACT–Wazalendo dhidi ya INEC na Mwanasheria…

Read More

BALOZI NCHIMBI AJIANDIKISHA KUPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA, ATOA WITO WATU KUJITOKEZA KWA WINGI

Na Mwandishi Maalum, Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024. Akizungumza baada ya kujiandikisha, Balozi Nchimbi aliwasisitiza wananchi umuhimu wa kujitokeza kwa wingi kuandikishwa, akisema kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha…

Read More

Diaspora watuma trilioni 2, sasa kupewa hadhi maalumu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Diaspora wana umuhimu mkubwa kutokana na mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwani mwaka 2023, walituma fedha nyumbani kiasi cha Dola za Marekani 751.6 milioni (Sh 1.9 trilioni). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi  ya…

Read More

Wanachama CWT wataka kibali cha kuwashtaki viongozi

Dodoma. Wanachama watatu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, wakiomba kibali cha kufungua shauri la jinai kwa walalamikiwa wanne wakiwamo viongozi chama hicho. Mbali na hilo, Mahakama hiyo imetoa siku 14 kwa walalamikiwa kujibu hoja kabla ya kutoa uamuzi wa kama shauri hilo lifunguliwe au la. Waliofungua…

Read More

Profesa Janabi akabidhiwa ofisi WHO

Dar es Salaam. Profesa Mohamed Janabi, ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika amekabidhiwa ofisi na kuanza rasmi kazi. Janabi amepokewa ofisini kwake leo Jumatatu, Juni 30, 2025 kwenye ofisi za Kanda ya Afrika zilizopo nchini Congo, Brazzaville, baada ya kula kiapo Mei 28, 2025 mwaka huu. Katika nafasi yake…

Read More

Hitilafu ya Amazon yavuruga dunia

Hitilafu iliyotokea katika huduma za Amazon Web Services (AWS) leo Jumatatu Oktoba 20, 2025 imesababisha usumbufu mkubwa katika mtandao, ikiathiri mamia ya programu na tovuti maarufu duniani kote. Huduma kama Snapchat, Canva, Venmo, Duolingo, Coinbase, Fortnite na Roblox zimepata changamoto za kushindwa kufunguka, utendaji wa taratibu au kukatika kabisa kwa muda. Kwa mujibu wa tovuti…

Read More