Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Meridianbet

JE, unajua kuwa sehemu pekee ya wewe kutimiza ndoto zako ni Meridianbet pekee?. Tandika jamvi lako sasa na unanze safari yako ya kufanikiwa kimaisha kwani kwa dau dogo tuu unaibuka Milionea. EPL kurindima wikendi hii ambapo mapema kabisa Chelsea atakuwa ugenini dhidi ya Newcastle United ambapo mara ya mwisho kukutana timu hizi mbili, The Blues…

Read More

Dk Tulia aahidi kuanza na vipaumbele 15 Jimbo la Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Jimbo jipya la Uyole kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson, ametaja vipaumbele 15 ambavyo amesema vitabadili taswira ya Uyole ifikapo mwaka 2030, ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa halmashauri mpya itakayojitegemea kimapato. Ametoa kauli hiyo jana Jumamosi, Septemba 13, 2025, katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika Shule ya Msingi Hasanga,…

Read More

Mudathir apewa u-MVP | Mwanaspoti

MSIMU wa 2023/2024 umetamatika rasmi majuzi baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikishi kwa kuichapa Azam FC kwa penalti 6-5 katika fainali kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar na kwa sasa inasubiriwa tuzo za Wanamichezo Bora, huku kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mudathir Yahya akipewa u-MVP mapema na nyota anaocheza nao…

Read More

Sababu Wazir Jr kurudi Bongo

MSHAMBULIAJI Wazir Junior Shentembo ameweka wazi sababu ya kurejea Dodoma Jiji, anataka kumaliza mkataba wake wa mwaka mmoja kisha atimke nje. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga na KMC, msimu uliopita kabla ya kutimkia Al Minaa ya Iraq alipocheza kwa mkopo wa miezi sita, alikuwa akiitumikia Dodoma Jiji. Akizungumza na Mwanaspoti, Waziri Jr alisema kwenye…

Read More

NMB yajitosa kuidhamini Yanga dhidi ya CBE CAF CL

  KUELEKEA pambano la marudiano raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL 2024/25), dhidi ya CBE ya Ethiopia, mabingwa wa Tanzania, Yanga wameitambulisha Benki ya NMB kuwa ni mmoja wa wadhamini wa mechi hiyo, ushirikiano uliopewa jina la ‘Timu Bora, Benki Bora’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Yanga wanashuka dimbani Jumamosi…

Read More

Wakongwe Simba waanza kujipata | Mwanaspoti

MASTAA wa kikosi cha Simba wamesema wana kila sababu ya kufanya makubwa msimu ujao kutokana na viongozi, benchi la ufundi kufanya kile kinachowapa mwanga wa kuhakikisha wanakuwa bora. Simba ipo nchini Misri kujiweka tayari kwaajili ya msimu mpya huku mastaa hao wakiweka wazi kuwa msingi ni nidhamu na ushirikiano ili kufikia malengo yao 2024/25. Wakizungumza…

Read More