ELIMU YA PSSSF KIGANJANI YAWAFIKIA WANACHAMA MAONESHO YA OSHA

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, ARUSHA MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umewakumbusha wanachama wake kuwa, huduma zote zinazohusiana na uanachama wa mwanachama zinapatikana mtandaoni, (PSSSF Kiganjani). Meneja wa PSSSF, Kanda ya Kaskazini, Bi. Vonness Koka, amesema hayo wakati akiongoza timu ya watumishi wa Mfuko huo kupeleka elimu ya matumizi ya PSSSF…

Read More

Chrome City Yapagawisha Hustlers Kariakoo na Manzese Kuelekea Uzinduzi Agosti 30, Tanganyika Packers – Kawe.

Mishemishe na harakati za Kariakoo na Manzese zilinoga kipekee kwa ‘vibe’ la aina yake jana baada ya timu ya Chrome City kuingia mtaani kuungana na mashujaa halisi wa uchumi wa mijini Tanzania – hustlers. Kuanzia waendesha bodaboda, mama lishe, wauzaji wa nguo, wauzaji wa vifaa vya umeme, mpaka wauza matunda – kampeni hii inawatambua na…

Read More

Ateba akitoka, huyu anaingia! | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kikiwa kambini jijini Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano na kuna kazi ya maana inaendelea kufanywa na kocha Fadlu Davids akisuka kikosi kwa akili na hesabu zake na habari mpya ni mipango yake ya kuunda safu mpya ya ushambuliaji. Kocha Fadlu anayesimamia usajili wa kikosi hicho, amejulishwa kwamba…

Read More

JIMBONI KWA CHONGOLO NI FULL VIBE WAKIMSURI MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Makambako  YAANI ni full vibe… ni shangwe tu kwa wananchi wa Makambako!Ndivyo unavyoweza kueleza wakati mamia ya wananchi wakiwa wamejitokeza katika mkutano wa kampeni wa mgombea Urais wa CCM Dk.Samia Suluhu Hassan  Katika mkutano huo ambao unafanyika mapema asubuhi ya leo Septemba 6,2025 wakimsubiri mgombea Urais kupitia CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan…

Read More

Stars kutesti mitambo na Kenya, Uganda kabla ya CHAN

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajiwa kushiriki mashindano ya CECAFA yaliyoandaliwa maalum kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Ukanda wa Afrika Mashariki (CECAFA), yamepewa jina la CECAFA 4 Nations Tournament yatakayoshirikisha timu…

Read More

Sekondari ya Temeke yapigwa tafu vifaa vya maabara

Dar es Salaam. Katika kutekeleza mkakati wa kuinua ubora wa elimu ya sayansi nchini Tanzania, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa msaada wa Sh10 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke. Fedha hizo zimekabidhiwa shuleni hapo, kwa ajili ya kununua vifaa vya maabara…

Read More

Okwi akubali yaishe Uganda, Aucho kubeba mikoba

Baada ya kuitumikia timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ kwa zaidi ya miaka 15, nyota wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu hiyo. Okwi mwenye umri wa miaka 32 ambaye kwa sasa anaichezea Kiyovu SC ya Rwanda, ametangaza uamuzi huo wa kustaafu leo, Machi 18, 2025kupitia taarifa aliyoiweka katika kurasa…

Read More