Wanaodaiwa kumteka Mtanzania Kenya wasota mahabusu siku 16

Dar/Nairobi. Mahakama nchini Kenya, kesho itatoa uamuzi wa iwapo raia wawili wa Kenya na Mtanzania wanaotuhumiwa kufanya jaribio la kumteka mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Hamza, waachiwe kwa dhamana ama la. Katika jaribio hilo la utekaji ambalo lilishindikana, lililotokea Februari 22, 2026 huko Kaunti ya Machakos katika ardhi ya Kenya, watuhumiwa wanadaiwa kumchoma sindano mwanaharakati huyo…

Read More

Marekani Yaipa Iran Saa 48 Kufungua Strait of Hormuz

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametuma ujumbe mkali akiilenga Iran kuhusu hali ya usalama katika eneo la Strait of Hormuz. Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Trump ameonya kuwa Iran inapaswa kufungua njia hiyo muhimu ya kimataifa bila vitisho ndani ya muda maalum wa saa 48, akisisitiza kuwa hatua…

Read More

Mbinu za kutatua migogoro kwenye ndoa

Uhusiano wa watu wengi umefikia katika hali mbaya na mwingine kufa kabisa, huku wanandoa wakiachana katika maumivu na majeraha makali ya moyo. Chanzo kikubwa kikiwa kutojua kwao kuishughulikia migogoro inayojitokeza katika uhusiano wao. Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna mnavyoishughulikia migogoro hiyo. …

Read More

DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF

Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna ambavyo linatoa elimu kwa wadau mbalimbali wakiwemo wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika yanayotambulika kama Intra African Trade Fair (IATF) yanayoendelea jijini Algiers nchini…

Read More

Lissu aibua jipya kuhusu mashahidi wa Jamhuri

‎Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameibua hoja mpya dhidi ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akidai kuwa ni hawastahili kisheria kufika mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi hiyo. Lissu ameibua madai hayo leo Jumanne, Septemba 16, 2025, katika mwendelezo wa usikilizwaji wa…

Read More

Mngulumi na Deus waungana kusaka kura za CCM Kongwa

Kongwa. Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kongwa, Isaya Mngulumi anafanya kazi na waliokuwa wagombea wenzake ili kutafuta kura. Kitendo hicho kinatajwa kuwa mkakati wa kumaliza makundi ndani ya chama. Hata hivyo, aliyeshika nafasi ya tatu katika kura za awali Deus Seif ameonekana kuwa turufu ya chama hicho ndani ya jimbo akitakiwa…

Read More