TBC kuonyesha AFCON bure | Mwanaspoti

MKURUGENZI wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Ayub Rioba Chacha, amesema mechi 32 za kuwania Fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON) zitarushwa mubashara bure kwenye chaneli ya TBC1 na TBC Taifa kwa ubora na ubunifu. Fainali hizo zitakazofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026, timu ya taifa ya Tanzania itashiriki ikiwa…

Read More

Hidaya apoteza nguvu baada ya kuingia Mafia

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kupitia mwendelezo wa taarifa zake kuhusu kimbunga Hidaya imesema kimekosa nguvu baada ya kuingia nchi kavu katika Kisiwa cha Mafia. Taarifa hiyo imetolewa jana Jumamosi Mei 4, 2024 saa 5.59 usiku. “Taarifa hii inahitimisha mfululizo wa taarifa wa kilichokuwa kimbunga Hidaya zilizokuwa zikitolewa na TMA…

Read More

UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI NI FURSA MPYA YA VIJANA KUINUKA

Na Pamela Mollel, Arusha. Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji katika ufugaji wa kuku wa kienyeji, kwa kuwa ni biashara yenye faida kubwa na soko pana linalokua kila siku. Akizungumza na vijana waliomtembelea katika soko la Morombo jijini Arusha, mjasiriamali maarufu wa kuku, Mudy Musa, alisema ufugaji wa kuku wa kienyeji ni miongoni mwa…

Read More

Ripoti ya UN ni ya uongo – DW – 15.08.2024

Ripoti ya awali iliyoachapishwa siku ya Jumanne na jopo la wataalamu wa uchaguzi wa Umoja wa Maaifa iligundua kwamba CNE ilishindwa kutekeleza kikamilifu misingi ya uazi na uadilifu. Baraza hilo, CNE lilitangaza ushindi wa Maduro kwa asilimia 52, bila ya kutoa mchanganuo. Matokeo hayo yamekuwa yakipingwa na upinzani, Marekani, Umoja wa Ulaya na baadhi ya…

Read More