Samia: Ilani mpya ya CCM itakuwa na mambo mazuri

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitaiweka hadharani Ilani yake mpya ya 2025-2030 ambayo itanadiwa wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025. Samia amesema kuwa Ilani hiyo itazinduliwa kesho Ijumaa, Mei 30,2025 na kwamba, itasheheni mambo mazuri kwa maendeleo ya Watanzania. Ameyasema hayo…

Read More

Benki ya Japani Yakosolewa kwa Kufadhili Mradi wa LNG wa Msumbiji Unaolaumiwa kwa Uhamishaji – Masuala ya Ulimwenguni

Kijiji katika Peninsula ya Afungi katika Wilaya ya Palma, Mkoa wa Cabo Delgado. Credit: Justica Ambiental by Maina Waruru (nairobi) Jumatatu, Desemba 23, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Des 23 (IPS) – Wanahaŕakati wa hali ya hewa na mazingiŕa kutoka Japani wameikosoa Benki ya Japan ya Ushiŕikiano wa Kimataifa (JBIC) kwa kufadhili mradi wenye utata…

Read More

Padri aliyemwagiwa tindikali 2013 zanzibar afariki

Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…

Read More

Dk Hassy Kitine afariki dunia, kuzikwa kesho Dar

Dar es Salaam. Tanzania imeondokewa na mmoja wa mashujaa wake, Dk Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu 1978 hadi 1980. Alikuwa pia mshauri wa karibu wa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere na mmoja wa viongozi waliokuwa na uelewa mkubwa wa masuala ya usalama na ukombozi wa…

Read More

Wadau wafurahia uwazi mnada wa madini kidijitali

Arusha. Wanunuzi wa madini ya vito kutoka maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi wamejitokeza kununua madini kwa njia ya mtandao ukiwa ni utaratibu mpya uliowekwa na Wizara ya Madini chini ya usimamizi wa Tume ya Madini,  kwa ajili ya kuongeza ufanisi na uwazi katika kufanya biashara hiyo hapa nchini. Ununuzi huo umekuja siku moja baada…

Read More

Mahubiri: Neema ya Mungu hutupa nguvu ya kushinda majaribu

Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo, leo tumepewa ujumbe unaosema Neema ya Mungu hutupa nguvu ya kushinda majaribu ya maisha. Katika dunia hii tunayoishi, kila mmoja wetu anakumbana na changamoto, vishawishi, na majaribu ya kila namna. Lakini ashukuriwe Mungu kwa sababu hakutuacha yatima; ametupa neema yake  neema ambayo siyo tu ya wokovu bali pia ya…

Read More

BARRICK ILIVYOADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Mfanyakazi bora wa Barrick, Dativa Katabaro, akipokea zawadi kutoka kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk.Philip Mpango. Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick waliochaguliwa wafanyakazi bora wakipokea vyeti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Anamringi Macha. Wafanyakazi wa mgodi wa Barrick waliochaguliwa wafanyakazi bora wakipokea vyeti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,Anamringi…

Read More