Washiriki 1200 watarajiwa kushiriki mbio za barabarani

WASHIRIKI wasiopungua 1200 wanatarajiwa kushiriki mbio za barabarani zitakazofanyika Agosti 31 mwaka huu zitakazoanza kutimua vumbi Police Office Mess Masaki. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa The Runners Club, Godfery Mwangungulu ambao ndio waandaaji wa mbio hizo Alisema ni msimu wa saba sasa wa mbio hizo lakini kwa msimu huu zimekuwa na utofauti. Mwangungulu…

Read More

Umejiuliza sababu ya kumpeleka mtoto shule?

Dar wa Salaam. Kila asubuhi, wazazi kote nchini tunahangaika kuhakikisha watoto wetu wanaenda shule.  Wapo wanaoamka alfajiri kuwawahisha watito katika vituo vya daladala au mabasi ya shule, wengine huendesha magari yao binafsi, achana na wale wengi wanaotembea wenyewe kwa miguu kuelekea masomoni. Lakini swali moja la msingi linabaki: Umejiuliza kwa nini unamwamsha mtoto kila siku ili…

Read More

Opah Clement tumaini jipya China

STRAIKA wa Henan Jianye inayoshiriki Ligi Kuu nchini China, Opah Clement amekuwa na msaada kwenye kikosi hicho eneo la ushambuliaji na kuwa tumaini kwenye kikosi hicho kilichokuwa nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi. Timu ya Mtanzania huyo ipo nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi kati ya 12 zinazocheza ligi hiyo ikikusanya pointi 19…

Read More

BALOZI MULAMULA AMLILIA JENISTA MHAGAMA

::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Africa kuhusu Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, amesema amepokea kwa masikitiko makubwa na mshtuko taarifa za kifo cha Mhe. Jenista Mhagama huku akisema ni pigo kubwa sana kwa nchi yetu na jamii ya Watanzania kwa ujumla. Akizungumza na Mwandishi wetu leo, amesema Taifa limepoteza mwanamke jasiri na…

Read More

Yacouba arudi Bongo kuliamsha tena

NYOTA wa zamani wa Yanga na Ihefu (sasa Singida Black Stars), Yacouba Songne amerejea Bongo akisaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu Bara kwa msimu wa pili sasa. Yacouba amejiunga na Tabora, akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na AS Arta/Solar7 ya Djibouti aliyojiunga nayo akitokea Ihefu na kufanikiwa kutwaa…

Read More

WADAU WA UANDAAJI NA USIMAMIZI WA BAJETI KUBORESHA UTENDAJI

Kamishna wa Idara ya Usimamizi wa Deni la Taifa, Bw. Japhet Justine, akiwataka wadau wa Uandaaji na usimamizi wa Bajeti kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Sekretarieti za Mikoa kutumia mafunzo waliyopata kuboresha utendaji, wakati wa kufunga mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza katika ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma. Kamishna Idara…

Read More

Bocco misimu 16 ya kibabe, rekodi zampa heshima

ALIYEKUWA mshambuliaji na nahodha wa Simba, John Raphael Bocco ‘Adebayor’, ametangaza rasmi kustaafu soka la ushindani baada ya kucheza kwa misimu 16 mfululizo huku akijitengenezea umaarufu mkubwa kuanzia ngazi ya klabu na timu ya Taifa. Bocco amestaafu kucheza soka lakini wakati huo tayari ni kocha wa timu ya vijana ya Simba anayoendelea kuinoa na inaelezwa…

Read More