BENKI YA STANBIC YAZINDUA MABORESHO YA HUDUMA YA PRIVATE BANKING JIJINI MWANZA, KULETA SULUHISHO MAALUMU LA USIMAMIZI WA MALI NA FEDHA

  Na mwandishi wetu Mwanza. Benki ya Stanbic imezindua rasmi maboresho ya huduma zake za Private Banking jijini Mwanza, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kutoa suluhisho maalum za kifedha kwa wateja wake wenye uhitaji mkubwa, wamiliki wa biashara, na wawekezaji mbali mbali. Uzinduzi huu ni hatua muhimu ya kimkakati wa upanuzi wa…

Read More

KIBU DENIS YUPO NCHI HII – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Sakata la Kibu Dennis limeingia sura mpya baada ya kubainika kuwa yupo Nchini Norway kwa ajili ya majaribio baada ya kuitoroka Simba SC kama ilivyoripitiwa awali.   Hii ni baada ya nyota huyo kupokea barua ya mwaliko kutoka klabu ya Kristiansund BK ya Nchini humo kwa ajili ya kufanyiwa majaribio ya Mwezi mmoja kuanzia…

Read More

Yanayokwamisha ufanisi wa ATCL yatajwa

Dar es Salaam. Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kukosa umiliki wa viwanja, kutumia ndege kubwa kwa safari za ndani na bei ya nauli kuwa juu,  zimetajwa kuwa sababu za shirika hilo kukosa ufanisi unaotarajiwa. Imeelezwa fedha nyingi hutumika kwa shughuli za uendeshaji tofauti na mapato yanayopatikana. Hayo yameelezwa wakati wa uzinduzi wa Kitabu cha ‘ATCL…

Read More

Afrika yaunganisha nguvu kukomesha udumavu

Arusha. Tatizo la utapiamlo barani Afrika limeendelea kutafutiwa ufumbuzi baada ya kuingiwa makubaliano ya ushirikiano wa utafiti, ubunifu na matumizi ya teknolojia za kidijitali. Makubaliano hayo yametiwa saini kati ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Afrika (NM-AIST) na Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kusini na Kati (ECSA-HC)  kwa lengo la kushirikiana…

Read More

Mzize, Ateba waibeba Dabi ya Kariakoo

MWISHO wa ubishi. Wakati pambano la Dabi ya Kariakoo likipigwa leo Jumamosi, huku kila upande ukitamba na washambuliaji wenye uchu mkubwa wa kufumania nyavu, Simba ikiwa na Leonel Ateba, Jean Ahoua na Steven Mukwala, wakati Yanga ina Clement Mzize, Prince Dube na Pacome Zouzoua. Pambano hilo linalopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam…

Read More

Ronaldinho, Kaka kukipiga Zanzibar | Mwanaspoti

MASHABIKI wa soka Zanzibar na Afrika kwa ujumla, wakae tayari kushuhudia tukio la Kihistoria litakalofanyika Julai 27, 2025, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, kupitia “The Match of the Legends” inayowaleta mastaa wakongwe wa Brazil wakiongozwa na Ronaldinho Gaúcho, Kaká na Julio Cesar. Tukio hili la kihistoria linakuja kama sehemu ya maadhimisho ya ‘Brazil Week’,…

Read More