ETDCO YAONYESHA UTEKELEZAJI WA MRADI YA UMEME SABASABA
Mhandisi Mkuu wa Kampuni ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) Mustapha Himba (kulia) akitoa ufafanuzi wa utekelezaji wa miradi ya umeme kwa wananachi waliotembelea leo julai 2, 2025 katika banda la Kampuni hiyo katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara sabasaba katika Viwanja vya Julius…