Mambo 7 yamkalia pabaya Pedro Yanga

YANGA inaendelea kugawa dozi kwenye mechi zake ikitoka kupata mshtuko wa kudondosha pointi mbili baada ya kulazimishwa sare dhidi ya Simba, mchezo ambao uliibua hoja mbalimbali juu ya kiwango cha kikosi hicho. Huo ulikuwa mchezo wa kwanza wa dabi timu hiyo ikiwa chini…

Read More

Sh1.7 bilioni zanufaisha vikundi 165 vya wanawake Mbarali

Mbarali. Katika kuhakikisha wanawake wanawezeshwa kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya, imetoa zaidi ya Sh1.7 bilioni kwa vikundi 165 vya wanawake pekee. Hatua hiyo ni kutekeleza maelekezo ya Serikali, kuzitaka halmashauri nchini kutoa mikopo ya asilimia 10 kwa makundi ya wajasiriamali wadogo, kwa lengo la kukuza uchumi wa kipato. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

Zaidi ya hekta 400,000 za misitu hupotea kila mwaka

Shinyanga. Wakati Tanzania ikielekea kuadhimisha Siku ya Misitu Duniani inayofanyika kila ifikapo Machi 21 kila mwaka imebainishwa ukanda wa Tanzania bara zaidi ya hekta 400,000 za misitu hupotea kutokana na uharibifu wa mazingira ikiwamo ya ukataji miti hovyo. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Ofisa Misitu Mwandamizi, Mkuu wa oparesheni Kanda ya Magharibi…

Read More

Nangu afichua ishu yote Simba

BEKI mpya wa kati wa Simba, Wilson Nangu bado hajaungana na timu hiyo tangu alipotangazwa kutua hapo, lakini anajua kesho Jumatano katika tamasha la Simba Day itakuwa ni fursa yake kuungana na wenzake na kutambulishwa mbele ya mashabiki na anajua shoo ya tamasha hili ilivyo. …

Read More

Dk Tulia aahidi miradi ya kipaumbele Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson ameahidi kuchimba visima vikubwa katika kata ya Itezi ili kumaliza adha ya maji kwa wananchi wake ikiwa ni miongoni mwa vipaumbele vyake katika jimbo hilo. Vipaumbele vingine alivyojiwekea Dk Tulia ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara na kusimamia utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana…

Read More

Bado Watatu – 12

Baada ya muda kidogo nikaona mlango unafunguliwa. Aliingia msichana mweupe. Alikuwa amevaa baibui jeusi. Kichwa chake alikuwa amekifunika kwa hijabu. Aliponiona aligutuka, akafunga mlango na kuja kukaa kwenye sofa jingine.

Read More

Vyombo vya ukandamizaji vya Jimbo la Venezuela ‘zisizobadilika’ licha ya mabadiliko ya uongozi – Masuala ya Ulimwenguni

“The miundo ambayo imeendeleza mateso kwa miaka mingi haijavunjwa, wala sera za Serikali hazijatangazwa kuanza mchakato huo.”, Ujumbe wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli kwa Venezuela ulisema katika a taarifa iliyotolewa Jumatano. Ujumbe huo ulianzishwa ili kutathmini madai ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Venezuela uliofanywa tangu 2014. Tangu kukamatwa kwa Maduro mnamo Januari 3,…

Read More