Mgombea urais UDP aahidi majisafi, elimu bure hadi chuo kikuu

Geita. Mgombea urais wa Chama cha United Democratic Party (UDP),  Saumu Rashid amesema chama chake kimejipanga kutatua changamoto kubwa zinazowakabili Watanzania kwa kuhakikisha upatikanaji wa majisafi na salama, elimu bure hadi chuo kikuu, huduma za afya nafuu na uwekezaji wenye tija katika rasilimali za Taifa. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika…

Read More

Dk Msolla ashindwa kuvumilia, atoa tano kwa kina Hersi

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Yanga, Dk Mbete Mshindo Msolla, ameshindwa kuvumilia na kuumwagia pongezi uongozi wa timu hiyo kwa kazi kubwa waliyoifanya hadi sasa, huku akiwaomba wanachama kuendelea kushikamana kwa ajili ya mafanikio zaidi. Akizungumza katika mkutano mkuu wa Yanga unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome Masaki, Dk Msolla amesema siri ya timu hiyo kufanya vizuri…

Read More

WANAZUONI WAHIMIZA WISLAMU KUTOA ZAKA KUPAMBANA NA UMASIKI

                 :::::::::::: Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Abdallah Swallehe Ndauga, amewahimiza Waislamu kutekeleza ipasavyo ibada ya Zaka ili kusaidia kupunguza umasikini katika jamii. Akizungumza katika kongamano la wanazuoni wa Kiislamu lililofanyika katika ukumbi wa Dar es Salaam Youth Centre (DYCC) jijini Dar es Salaam, Sheikh…

Read More

Shinda Mizunguko ya Bure Kila Siku Kupitia Wild White Whale – Global Publishers

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, anakukaribisha kwenye promosheni ya mwezi mzima kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Wild White Whale. Kuanzia tarehe 01 hadi 31 Septemba, kila mchezaji aliyesajiliwa ana nafasi ya kujizawadia mizunguko 50 ya bure kila siku, kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa pesa halisi. Hii si bahati nasibu. Haijalishi kama umeshinda…

Read More

Sababu Mkurugenzi halmashauri kutupwa jela miaka 20

Moshi/Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunza amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka. Gunza amehukumiwa adhabu hiyo Septemba 18, 2025 na Hakimu Mkuu Mkazi, Charles Uiso wa Mahakama ya Wilaya Simanjiro, ambaye amesema Jamhuri imethibitisha mashtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote….

Read More