Mifumo minne ya Chama inayompa jeuri Gamondi

MOJAWAPO wa usajili uliogonga vichwa vya habari katika msimu huu ulikuwa ni wa aliyekuwa kiungo wa Simba, Clatous Chama kuihama timu hiyo aliyoichezea kwa misimu sita na kutua kwa wapinzani wao wakubwa na watani wa jadi, Yanga. Chama aliyejiunga na Simba mara ya kwanza Julai 1, 2018 akitokea Lusaka Dynamos ya kwao Zambia, amekuwa ni…

Read More

Taasisi ya Vodacom Foundation Kuwekeza TZS Bilioni 3.25 Kwenye Elimu Kupitia Ushirikiano na Taasisi ya Elimu Tanzania na Twaweza Afrika Mashariki

-Ushirikiano wazinduliwa wakati wa ufunguzi wa Wiki ya AZAKI 2025 jijini Arusha, Tanzania. Dar es Salaam, 02 Juni 2025 — Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation leo umetangaza uwekezaji wa TZS bilioni 3.25 kwa kipindi cha miaka mitatu ili kuendeleza sekta ya elimu nchini Tanzania kupitia ushirikiano mpya na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) na Twaweza…

Read More

SERIKALI YAAHIDI KUKUZA SEKTA YA UTALII KUPITIA NaPA

Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha. Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema miongoni mwa maeneo ya vipaumbele vya Wizara chini ya Mfumo wa Anwani za Makazi ni kushiriki kikamilifu katika kukuza Sekta ya Utalii nchini. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Septemba, 2024 na Bw. Mulembwa Munaku, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa…

Read More

Lema ataja umaskini Same chanzo ni kukosa soko la tangawizi

Same. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema licha ya Wilaya ya Same kulima zao la tangawizi kwa wingi, bado wananchi wake wameendelea kuwa na hali mbaya kiuchumi kutokana na zao hilo kukosa soko. Amesema maji ya tangawizi nchini Marekani yanauzwa Dola 12 (Sh31,200), hata hivyo kukosekana kwa…

Read More