Ziara ya Kihongosi Kanda ya Ziwa daraja kati ya CCM na wananchi
Simiyu/Mwanza. Ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi katika mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mwanza imeanza kuvuta hisia za wadau wa siasa na wananchi, huku wengi wakiitazama kama daraja linaloweza kuimarisha uhusiano kati ya chama na wananchi. Ziara hiyo ya kikazi, Kihongosi…