WADAU WAIANGUKIA SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA MASUALA YA WATU WENYE ULEMAVU AFRIKA
Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na masuala ya watu wenye ulemavu,Wakili Gideon Mandes, alizungumza na waandishi wa habari mara baada ya semina ya Waandishi wa habari na wadau kutoka vyama vya watu wenye ulemavu yaliyoandaliwa na Shirika la Sightsavers yaliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa itifaki hiyo. Na.Mwandishi Wetu KATIKA kukabiliana na mila,…