Matumaini mapya NHIF bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebainisha kuwa upo tayari kuanza utekelezaji wa bima ya afya kwa wote ifikapo Januari Mosi, 2026, kufuatia maboresho ya mifumo, maandalizi ya kifedha na ushirikishwaji wa wadau mbalimbali. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Desemba 22, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dk Irene Isaka wakati…

Read More

Chama afunika Kwa Mkapa | Mwanaspoti

UTAMBULISHO wa mchezaji mpya wa Yanga, Clatous Chota Chama, umeibua shangwe la mashabiki wa timu hiyo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Chama amejiunga na Yanga msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu sita tofauti tangu alipojiunga nayo Julai Mosi, 2018, akitoka Klabu ya Lusaka Dynamos ya kwao Zambia. Usajili wa nyota huyo ulizua gumzo nchini…

Read More

Bajeti ilivyoacha kicheko, kilio kwa kada tofauti

Unguja. Siku moja baada ya kusomwa bajeti ya Serikali imeelezwa kuwa kuna wanaocheka, kulia na ina utegemezi kwa kiasi kikubwa. Wakiichambua bajeti hiyo wachambuzi wa siasa, uchumi na wataalamu wa maeneo yaliyoguswa, wamesema licha ya Serikali kuonyesha vipaumbele vitano vya kimkakati na kutanua wigo wa mapato, wamesema wadau wa maendeleo ikitokea wakasitisha misaada Serikali itashindwa…

Read More

Barabara yamogoka kimazichana safari Lindi, Mtwara na Kwingineko hatarini

Na Mohammed Ulongo Wakazi wa Kimazichana Mkoani Pwani wamefikwaa na hadha ya kumogoka kwa sehemu ya barabara kuu inayounganisha maeneo mbalimbali ikiwemo mikoa ya kusini mapema hii leo. Akizungumza na mtanzania digital shuhuda wa tukio hilo aliyejitambulisha kuwa Mudhihiri Muhsin kutoka eneo hilo amesema kuathirika kwa barabara hiyo ni kutokana na mvua zinazoendelea Kunyesha Huku…

Read More

Adam anausoma mchezo Azam | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Adam Adam amesema kutokupata nafasi ya kucheza sio kwamba ameshuka kiwango na anaendelea kupambana kupambana kuhakikisha muda wote anakuwa fiti, ikitokea nafasi awe msaada kwa timu. Adam alisema kipindi anapata nafasi ya kuanza, washindani wake wa namba walikuwa wanakaa benchi, pia kila kocha anakuwa na chaguo lake, lakini jambo la msingi…

Read More

MTU WA MPIRA: Hata Chama mwenyewe anawashangaa Simba

KUNA vitu vingine vinaendelea nchini vinashangaza sana. Ni kama hili sakata la usajili wa Clatous Chama. Ni jambo la kushangaza. Huko mitandaoni kumechafuka. Huyu anasema Chama ni wa Simba mwingine anakuja anasema ni wa Yanga. Ni mkanganyiko mkubwa. Kwanini, subiri nitakwambia. Chama alikuwa mchezaji wa Simba hadi msimu unamalizika. Amecheza Simba tangu 2018 ukiacha miezi…

Read More