Rushwa, umri mkubwa vyakatisha tamaa vijana kuwania uongozi

Butiama. Baadhi ya vijana katika Mkoa wa Mara wameeleza kuwa ukosefu wa fursa za kugombea nafasi za uongozi wa kisiasa ni miongoni mwa sababu zinazowakwamisha vijana wengi kushiriki katika upigaji kura kwenye chaguzi mbalimbali. Wamesema mara nyingi nafasi za uongozi wa kisiasa hupewa watu wenye umri mkubwa (wazee) au wale waliokaa madarakani kwa muda mrefu,…

Read More

Safari ya mwisho ya Jenerali Musuguri ilivyokuwa Butiama

Butiama. David Musuguri (104), aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi amehitimisha safari ya maisha yake hapa duniani kwa jeneza lenye mwili wake kuzikwa nyumbani kwake, Kijiji cha Butiama, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara. Safari hiyo ya mwisho ya Jenerali Musuguri aliyezaliwa Januari 4, 1920 ameihitimisha kwa mazishi ya kijeshi yaliyokwenda sambamba na mizinga 17 kupigwa….

Read More

ACT Wazalendo yataka uchaguzi serikali za mitaa urudiwe

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo, kimesema uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Jumatano Novemba 27,2024 haukuwa huru na haki na hivyo unapaswa kubatilishwa na kurudiwa upya. Mbali na hilo, chama hicho kimesema hakikubaliani na  matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa Tamisemi, Mohamed Mchengerwa na kuwa mchakato huo ulivurugwa na kusababisha wananchi…

Read More