WASIRA ATOA RAI KWA VIJANA KUGOMBEA UBUNGE,UDIWANI KATIKA UCHAGUZI MKUU 2025
Na Said Mwishehe,Ileje VIJANA wenye sifa jitokezeni kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika uchaguzi Mkuu mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara Stephen Wasira alipokuwa akizungumza na wanachama wa Chama hicho Wilaya ya Ileje mkoani Songwe. Wasira amesema kwa vijana ambao wanajiona…
Baadhi ya vigogo waanguka udiwani Manyara
Babati. Waliokuwa madiwani wa viti maalumu baraza lililopita, katika halmashauri ya mji wa Babati na Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wameshindwa kutetea nafasi zao. Katika uchaguzi wa madiwani viti maalumu mjini Babati uliofanyika jana Julai 20, 2025 na kusimamiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) mkoa wa Manyara, Inyasi Amsi umekamilika huku…
Wabunge watoa kauli hujuma SGR
Dar es Salaam. Wabunge wameliagiza Shirika la Reli Tanzania (TRC), kufunga kamera za ulinzi mara moja maeneo yote ya reli ili kukabiliana na watu wanaohujumu miundombinu ya treni ya kisasa ya umeme (SGR). Agizo hilo limetolewa leo Novemba 9, 2024 jijini Dar es Salaam na wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge…
Chama awaibia mastaa Stars siri ya AFCON
WAKATI fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zikitarajiwa kuanza leo Jumapili nchini Morocco, kikosi cha Taifa Stars kitashuka dimbani Desemba 23, 2025 kucheza dhidi ya Nigeria, huku nyota wa zamani wa timu hiyo, Rashid Iddi Chama akisema kila kitu kinawezekana kuanza vizuri. Taifa Stars iko kundi C pamoja na Tunisia, Uganda na Nigeria…
Shauri la viongozi wa Chadema kuidharau mahakama kuamuliwa leo
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa shauri la madai ya kudharau amri yake linalowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiwemo Makamu Mwenyekiti Bara, John Heche na Katibu Mkuu, John Mnyika. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Novemba 28, 2025 na Jaji Awamu Mbagwa aliyesikiliza…
Kocha Dar City ajivunia mafanikio NBL 2025
BAADA ya timu ya Dar City kutwaa ubingwa wa Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) 2025, kocha wa timu hiyo Mohamed Mbwana amesema amepitia mengi katika maisha yake lakini anajivunia mafanikio aliyoyapata akiwa na timu hiyo. Mbwana ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, amesema alianza kufundisha timu ya Dar…
UKAGUZI WA VYAKULA VYA MIFUGO NI ZOEZI ENDELEVU- DKT. OMARCH
Hayo yamesemwa na Meneja wa Maabara Kuu ya Veterinari kutoka Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Geofrey Omarch alipokuwa akifanya ukaguzi wa vyakula vya Mifugo kwa wazalishaji, wauzaji na watumiaji wa vyakula hivuo Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar Es Salaam Septemba 30, 2024 kwa lengo la kufuatilia ubora wa vyakula vya Mifugo…
Zanzibar Heroes, Burkina Faso kitapigwa tena Mapinduzi Cup
WENYEJI wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025, Zanzibar Heroes imetinga fainali kwa mbinde na sasa itakutana tena na Burkina Faso iliyowanyoa bao 1-0 katika makundi baada ya juzi usiku kuing’oa Harambee Stars ya Kenya katika mechi iliyojaa matukio yenye utata. Zanzibar imeifuata Burkina Faso baada ya kumaliza nafasi ya pili ikifikisha pointi sita, ikiiacha…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 10, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania June 10, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 10, 2024 first appeared on Millard Ayo.