Benki ya NBC Yazindua Msimu wa Pili wa Kampeni ya NBC Shambani Kuhamasisha Kilimo cha Kahawa Mkoa wa Ruvuma.
Wakati wa hafla hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Mikakati wa Benki NBC, Bw Msafiri Shayo aliwaongoza maofisa wengine wa benki hiyo akiwemo Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Pwani Bi Zubeider Haroun na Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo wadogo na wakulima kutoka Benki ya NBC, Bw Raymond Urassa . Akizungumzia kampeni hiyo, DC…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 16, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 16, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 16, 2024 first appeared on Millard Ayo.
JKT Queens kujichimbia Uturuki kujiandaa CAFWCL
JKT Queens imepanga kuondoka Tanzania Oktoba 9, 2025 kuelekea Uturuki itakapoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake yatakayofanyika nchini Algeria Novemba 2025. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Ofisa Habari wa JKT Queens, Masau Bwire amesema malengo ya kuweka kambi Uturuki ni kutokana na hali ya hewa ya…
WANAWAKE JESHI KUBWA WATOA MSAADA WA MADAWATI SHULE YA MSINGI KULANGWA
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Muungano Kata ya Goba, Bw. Lazaro Sentimoja akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kulangwa Bw. Emmanuel Tito msaada wa madawati uliotolewa na kikundi cha Wanawake Jeshi Kubwa wa Mtaa Kulangwa Kata ya Goba ,Wilayani Ubungo jijini Dar es salaam. Mwenyekiti wa kikundi cha Wanawake Jeshi Kubwa Frida kasomangala…
Netanyahu aishutumu Marekani kwa kuzuia msaada wa silaha – DW – 19.06.2024
Kwenye taarifa ya vidio iliyochapishwa Jumanne Netanyahu alisema hatua hiyo ilikuwa inapunguza kasi ya mashambulizi yake katika mji wa Rafah ulioko Kusini mwa Gaza. Amesema hayo, wakati Umoja wa Mataifa ukiishutumu Israel kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kimataifa kwenye vita hivyo baada ya kushindwa kutofautisha wapiganaji na raia. Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema jana kwamba…
Mpina ‘anavyobanana’ na CCM | Mwananchi
Bariadi. Kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed ya kumtaka Mbunge wa Kisesa Wilaya ya Meatu mkoani humo, Luhaga Mpina kuacha siasa alizoziita za ‘majitaka’ imeendelea kukoleza msuguano kati ya mbunge huyo na chama chake. Mpina amekuwa kwenye msuguano na uongozi wa chama hicho mkoani Simiyu, kiasi cha kuitwa kwenye Kamati ya…
TODD: Ule usajili Chelsea, pesa zinatoka huku
LONDON, ENGLAND: CHELSEA inazidi kushusha watu. Usajili kwao wameufanya jambo jepesi sana. Hawamuachi mchezaji wanaomtaka na hadi sasa inafikia idadi ya wachezaji 40 kwenye kikosi hicho. Wapo 18 waliosajiliwa hadi sasa, huku tisa ikiwa ni kwa kulipa ada na tisa wengine wakiwa ni usajili huru. Bosi wa miamba hiyo wa Jiji la London, Toddy Boehly…
Kwa Sowah fresh, Ahoua kazi anayo Simba
NAMNA ambavyo mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah anavyoendelea kucheka na nyavu, imewafanya wataalamu wa soka kumuona ni mshambuliaji sahihi wa kikosi hicho ambaye atatoa ushindani mkubwa kwa mastaa wengine wa timu hiyo. Oktoba 9, 2025 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ya kirafiki dhidi ya Al…
Yanga Yamtimua Kocha Romain Folz Baada ya Kichapo Malawi – Video – Global Publishers
Last updated Oct 19, 2025 Klabu ya Young Africans Sc imetangaza kuvunja mkataba wa Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Romain Folz ikiwa masaa kadhaa baada ya klabu hiyo kupokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Silver Striker Fc ya Malawi kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya pili ya…