Kishindo cha Kimbunga Hidaya | Mwananchi

 Dar/mikoani. Wakati Kimbunga Hidaya kikitarajiwa kupungua nguvu zaidi kuanzia kesho, kishindo cha athari zake  kimeanza kuonekana, baada ya  bei ya samaki kupanda, huku shughuli za usafiri wa majini zikisitishwa. Kupanda kwa bei katika masoko ya samaki bara na visiwani, imeelezwa na wafanyabiashara kuwa ni  mara mbili ndani ya kipindi kifupi. Wavuvi nao wanaelezea ugumu wa…

Read More

Mvua yatikisa Kilwa | Mwananchi

Kilwa. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi, imesababisha baadhi ya nyumba kubomoka katika maeneo ya Somanga. Akizungumaza kwa simu na Mwananchi Digital leo Jumamosi Mei 4, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamedi Nyundo amesema tangu asubuhi mvua ilianza kunyesha ikiambatana na upepo mkali uliokuwa unavuma kuelekea maeneo ya pwani ya Bahari…

Read More

Kamati ya Bunge yagomea mwendokasi Mbagala

Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Tamisemi, imegomea mapendekezo ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) ya kutaka kuanza huduma katika barabara ya Mbagala (Kilwa) ifikapo Februari, 2025 ikisema ni mbali na badala yake wahakikishe huduma zinaanza mwaka huu. Sambamba na hilo pia imewaonya kutofanya majaribio tena ya mabasi hayo kipindi cha…

Read More

Hidaya, kipindupindu, mafuriko vyatishia ukuaji wa maendeleo

Dar es Salaam. Unaweza kusema baadhi ya nchi za Afrika Mashariki zipo katikati ya majanga ya asili. Majanga hayo yametokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya baadhi ya nchi za Afrika Mashariki ambazo  zimesababisha vifo, majeraha, upotevu wa mali, uharibifu wa miundombinu na mlipuko wa magonjwa. Hadi sasa Tanzania, Kenya, Rwanda, Burundi na…

Read More

TADB, BOT WAFUNGA MAFUNZO KWA WATAALAMU 52, KULETA TIJA KATIKA UTOAJI WA MIKOPO YA KILIMO

 Kaimu Mkurugenzi na Muendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Dkt. Kanael Nnko (wa pili kutoka kulia) akiwakabidhi vyeti wahitimu wa mafunzo Yya wataalamu wa Taasisi za fedha zilizoshiriki. BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia BoT Academy leo Mei 03, 2024  imefunga mafunzo kwa wataalamu 52…

Read More