Viongozi Takukuru wakutana Arusha kujadili mbinu za kukabili wanasiasa watoa rushwa uchaguzi mkuu 2025

Na Seif Mangwangi, Arusha VIGOGO wakuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini wamekutana Jijini Arusha lengo mojawapo likiwa ni kuweka mikakati ya kukabiliana na wanasiasa watakaotoa rushwa katika uchaguzi Mkuu mwakani 2025. Akifungua mkutano huo mkuu wa mwaka wa Takukuru, Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango amesema rushwa ni adui mkubwa ambaye…

Read More

Wenye Uviko-19 waongezeka, Dar es Salaam yatajwa

Dar es Salaam. Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya zinaonyesha kuwepo ongezeko la watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita. Takwimu hizo zimetolewa leo Jumanne Mei 20, 2025, na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe kupitia taarifa yake kwa umma, ambapo amesema kumekuwepo ongezeko la…

Read More

VIDEO: Wafanyabiashara Soko la Chief Kingalu wagoma, wamtaka DC atengue kauli

Morogoro. Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko kuu la Chief Kingalu katika Manispaa ya Morogoro leo Agosti 23, 2024 wamegoma kufungua biashara zao na kufunga barabara inayoingia sokoni hapo, wakipinga wafanyabiashara wadogo kuruhusiwa kufanya biashara nje ya soko hilo. Wafanyabiashara hao wamedai kuwa agizo la wafanyabiashara hao kufanya biashara nje ya soko hilo lilitolewa na Mkuu…

Read More

Sekta ya madini yaajiri Watanzania 19,000 tangu 2021

Dodoma. Watanzania 19,371 wameajiriwa kwenye kampuni za uchimbaji wa madini katika kipindi cha kati ya mwaka 2021/22 hadi Januari mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo, Jumanne Machi 4,2025 na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Ramadhani Lwamo alipokuwa akielezea mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita na mwelekeo wa tume hiyo. “Tume ya…

Read More

Simba yamrejesha Juma Mgunda | Mwanaspoti

Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha anaondoka kwenye kikosi hicho na muda mchache uliopita, Simba imetoa taarifa ya kuachana naye na sasa timu hiyo itakuwa chini na Mgunda na Selemani Matola. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

KMC yampigia hesabu Nicholas Gyan

KMC inayoburuza mkia Ligi Kuu Bara inadaiwa ipo katika mawindo ya kumnasa winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana Nicholas Gyan kupitia dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Januari Mosi hadi 31, mwakani. Timu hiyo ambayo kwa sasa ipo chini ya kocha Abdallah Mohammed ‘Baresi’, ilianza msimu kwa kushinda mechi moja kati ya tisa ilizocheza,…

Read More

DKT NCHEMBA AIPONGEZA TRA KUIMARISHA MAPATO

Benny Mwaipaja, Arusha Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka sh. trilioni 22.2 mwaka wa fedha 2021/22 hadi kufikia sh. tril. 27.6 mwaka wa fedha 2023/2024 na kuvunja rekodi ya kukusanya sh. trilioni 16.528 katika kipindi cha Nusu Mwaka wa Fedha…

Read More

Wazazi washauriwa kuwalinda watoto – Mtanzania

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZAZI na Walezi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Mapinduzi, Kata ya Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara,wametakiwa kuwalinda watoto wao na kuacha kuwapa kazi ya kufanya biashara wakati wenzao wanaendelea na masomo. Ushauri huo umetolewa na Polisi Kata ya Mugumu, Mkaguzi Msaidisi wa Polisi, Pius Kahabi wakati alipozungumza na wazazi,walezi na…

Read More