MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana na umahiri, umakini, kujiamini na uchambuzi wake mkubwa wa masuala ya mambo kale na jiolojia. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Timotheo Mnzava wabunge hao wametoa pongezi hizo baada ya…

Read More

Raundi 10 ZPL kuchezwa Gombani, Bodi yafafanua

KATIKA kuhakikisha Pemba inafunguka kimichezo, Bodi ya Ligi Zanzibar (ZBL) ipo katika mazungumzo ya kuomba kuutumia uwanja mkubwa wa Gombani katika raundi 10 zilizosalia za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Hatua hiyo inalenga kuzisaidia timu, hasa kutoka Pemba, kurushwa mubashara kama ilivyo za Unguja. Katika misimu miwili mfululizo, mechi zinazochezwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong uliopo…

Read More

WAZIRI MKUU AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI KUANDAA JEDWALI LA UTEKELEZAJI UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara. Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

TAASISI ZA UMMA TEKELEZENI SHERIA YA MAZINGIRA

  Meneja wa Maeneo Maalumu na Mabadiliko ya Tabianchi, kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),Dkt. Careen Anatory Kahangwa,akizungumza wakati wa semina ya mafunzo kuhusu nyenzo za usimamizi wa mazingira, chini ya Mradi wa Kuimarisha Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira (EMA), iliyofanyika kwa ajili ya taasisi za umma kwa niaba ya…

Read More