NRA kuunda Serikali yenye Wizara 10 ikishinda uchaguzi

Mirerani. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Almas Kisabya amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, ataunda Serikali ndogo yenye wizara zisizozidi 10, lengo likiwa kufanikisha utendaji kazi. Kisabya ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni ya urais leo Ijumaa Septemba 12 mwaka 2025 mjini Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Amesema endapo atachaguliwa…

Read More

Mrundi arejea kivingine Namungo | Mwanaspoti

BEKI mpya wa Namungo, Mrundi Derrick Mukombozi amesema amejisikia fahari kucheza tena mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu Bara juzi dhidi ya JKT Tanzania, huku akiweka wazi ana kazi kubwa ya kufanya ili kucheza kikosi cha kwanza. Nyota huyo amerejea tena ndani ya kikosi hicho katika dirisha hili dogo la usajili akiwa mchezaji huru…

Read More

Samia kuhutubia maadhimisho ya uhuru Comoro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Comoro kwa mwaliko wa Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Azali Assoumani. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Julai 5, 2025 na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Shaaban Kissu imesema Rais Samia atasafiri kesho Jumapili Julai 6, 2025….

Read More

Mkutano wa kahawa utagusa hivi uchumi wetu

Kahawa ni mojawapo ya bidhaa muhimu zaidi duniani, ikiwa ya nne kwa thamani ya mauzo baada ya mafuta, dhahabu na gesi asilia. Soko la kahawa lina thamani ya Dola za Marekani bilioni 500 (Karibu Sh130 trilioni), huku nchi 50 duniani zikijihusisha na uzalishaji wake. Kati ya hizo, 25 zinapatikana barani Afrika, ikiwemo Tanzania. Hata hivyo,…

Read More

Waziri wa Kongo ataka kumkamata Kagame, akimwita “mhalifu” – DW – 26.11.2024

Waziri huyo akizungumza katika mji huo mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, alitishia kumkamata Rais Paul Kagame na Wanyarwanda wote na Wakongo wanaomuunga mkono. “Nchi yetu haitatawaliwa na Wanyarwanda kamwe. Muelewe vizuri kwamba tutawakamata, na Kagame mwenyewe tutamkamata pia. Nyinyi nyote mlioko katika mawasiliano na Wanyarwanda na Kagame, tutawahamishia katika gereza la kijeshi la Angenga,”…

Read More

Kigogo wa CUF atimkia ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu, Msaidizi wa Katibu Mkuu, Mjumbe wa Mkutano Mkuu na baraza kuu, Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Wananchi (CUF) taifa, Iddy Mkanza. Hayo yanajiri wakati katika uga wa siasa nchini…

Read More