Majaliwa ashiriki kampeni ya Wizara ya Afya ya mazoezi

*Aungana na wakazi Dar kufanya mazoezi Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mazoezi ya pamoja ya kampeni ya kitaifa inayoratibiwa na Wizara ya Afya ya kuhamasisha ufanyaji wa mazoezi kwa watanzania ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Mheshimiwa Majaliwa amesema hatua hiyo pia ni kuunga mkono wito wa Rais wa…

Read More

Mvua yasababisha mafuriko Moshi, Mto Rau wajaa maji

Moshi. Mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo, Mei 4, 2024 maeneo ya Mlima Kilimanjaro, Wilaya ya Moshi, zimesababisha mafuriko katika kata za Msaranga na Mji Mpya, huku baadhi ya nyumba zikizingirwa na maji. Mafuriko hayo yanatokana na Mto Rau kujaa maji na kuvunja kingo hivyo kusababisha maji kutapakaa katika makazi ya watu,mashamba na kuharibu mali na nyumba….

Read More

Gamondi azungumzia ukame mabao ya Nzengeli

MAXI Nzengeli alipojiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu huu, alianza kuitumikia timu hiyo kwa kishindo akifunga kwa kiwango cha kutisha kabisa akipachika mabao manane katika mechi 12 za kwanza za michuano yote, lakini tangu alipoifunga Simba mabao mawili katika ushindi wa 5-1 wa Kariakoo Dabi ya kwanza Novemba 5, 2023, mabao ya kiungo huyo Mcongo…

Read More

Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha Yanga kwa misimu miwili kuanzia 2016-2018 alisema, sababu kubwa inayochangia timu hiyo kufanya vizuri kwa misimu mitatu mfululizo ni kutokana na usajili mzuri uliofanywa na viongozi wao kikosini. “Yanga ina…

Read More

Wavuvi waendelea na kazi licha ya tishio la Kimbunga Hidaya

Lindi/Mtwara. Wakati kukiwa na tishio la Kimbunga Hidaya, baadhi ya wavuvi mikoa ya mwambao wa pwani wameonekana wakiendelea na kazi zao kama kawaida. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa kimbunga hicho kikiwa na upepo mkali na kuwatahadharisha watumiaji wa bahari kuwa makini ili kuepuka madhara. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More

Wavuvi Mto Kilombero walia athari za mafuriko

Morogoro. Wavuvi katika Mto Kilombero wameeleza athari walizozipata kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na Mwananchi Digital jana Ijumaa Mei 3, 2024, mwenyekiti wa kambi ya wavuvi katika Mto Kilombero, Amani Timoth ametaja athari hizo kuwa ni kupungua kwa  samaki wakubwa na wale adimu waliokuwa wakiwauza kwa bei ya faida kubwa. “Mto huu ni maarufu…

Read More

HUDUMA YA MWENDOKASI IANZE MBAGALA’ MHE NYAMOGA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Mhe Lazaro Nyamoga imefanya ziara ya kikazi ya kukagua mradi wa ujenzi wa miundombinu na uendeshaji wa mabasi yaendayo haraka Akiongea na wananchi wa eneo la Mbagala Kijichi Mhe.Nyamoga ameitaka serikali kuhakikisha wanapeleka huduma ya mabasi katika…

Read More