Anayedaiwa kuwaua wazazi wake Moshi apatikana akiwa hoi

Moshi. Kijana Evance Geofrey (26) anayetuhumiwa kuwaua wazazi wake, Geofrey Motta (60) na Blandina Ngowi (53) eneo la Msufuni Msaranga, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amepatikana akiwa hajitambui. Taarifa zinadai kijana huyo aliokotwa barabarani na wasamaria wema na kupelekwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kwa matibabu kutokana na hali aliyokuwa nayo. Inaelezwa…

Read More

Sirro afunguka hali ya usalama Kigoma

Dodoma. Siku chache baada ya tukio la utekaji wa magari na uporaji kutokea Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi linaendesha operesheni mkoa mzima kuwabaini wahusika kisha kuwafikisha mahakamani. Tukio hilo lilitokea Julai 13, 2025 katika eneo la Kibaoni karibu na kambi ya wakimbizi ya…

Read More