Lina Tour msimu wa nne waanza kurindima leo Morogoro

WACHEZAJI takribani 137 wamejitosa kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa nne yaliyoanza leo kwenye viwanja vya Gofu vya Gymkhana mkoani Morogoro. Mashindano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yalifanyika 2024 yanaendelea tena mwaka huu yakiwa na lengo la kumuenzi mchezaji gofu wa zamani timu ya taifa ya wanawake marehemu Lina Nkya aliyekuwa na…

Read More

MATARAJIO YA SERIKALI NI KUONA UZALISHAJI KATIKA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA UNAREJEA KWA HARAKA: WAZIRI NDEJEMBI

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, MVOMERO WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema ni matarajio ya Serikali kuona uzalishaji katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa unarejea kwa haraka. Mhe. Ndejembi ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipofika katika kiwanda hicho ili kujionea mwenyewe hali halisi iliyopelekea ajali…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 66.6 KUING’ARISHA CHATO

 Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Chato, Mandia Kihiyo, akitoa ufafanuzi …….. CHATO HALMASHAURI ya wilaya ya Chato mkoani Geita inakusudia kukusanya na kutumia kiasi cha bilioni 66,619,120 kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Serikali kuu, Halmashauri na wadau wengine wa maendeleo. Hatua hiyo inakusudiwa kuing’arisha wilaya hiyo kutokana na fedha nyingi kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo…

Read More

Coastal Union, JKT Tanzania mechi ya nafasi

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ilioupata Coastal Union dhidi ya Kagera ugenini, leo Mei 25 itakuwa katika Uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga kuikaribisha JKT Tanzania. JKT Tanzania Mchezo huo utakaozikutanisha timu hizo ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya awali Coastal kuondoka na pointi tatu dhidi ya wanajeshi wa JKT. Coastal ipo nafasi…

Read More

Waajiri na viongozi ofisi za umma wapewa neno,matumizi ya Kiswahili Sanifu na Fasaha katika nyaraka mbalimbali

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewataka Waajiri na Viongozi katika ofisi za umma kuwapa fursa Waandishi Waendesha Ofisi (Masekretari) kuwasidia katika uandishi kwa kutumia Kiswahili sanifu na fasaha katika nyaraka mbalimbali badala ya Maboss hao kung’ang’ania kuandika wenyewe na mwisho kupelekea makosa mengi kwenye nyaraka. Msigwa amesema hayo Mkoani…

Read More