Mahakama ilivyowaachia wawili walioua bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Tabora, imewaachia huru kwa masharti, watu wawili waliokiri kuua bila kukusudia akiwemo Manase Kulwa, aliyekiri kumuua bila kukusudia mke wake Sophia Jidai, baada ya kumkuta akifanya mapenzi na mwanaume mwingine. Manase alimuua mkewe Oktoba 21,2024 katika Kijiji cha Mwambondo Wilaya ya Uyui, mkoani  Tabora baada ya kumkuta akifanya mapenzi…

Read More

Wawakilishi: Vikosi vya SMZ visitumike vibaya

Unguja. Wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameonya matumizi mabaya ya vikosi vya SMZ katika uchaguzi huo. Hayo yamejiri leo Jumanne Mei 13, 2025 wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara…

Read More

Dk Nchimbi: Huduma za afya Kilolo zitaboreshwa

Kilolo. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika miaka mitano ijayo, wanakwenda kuboresha huduma za afya kuwa bora na za kisasa kwa wananchi wa Kilolo, mkoani Iringa. Wakati Dk Nchimbi akiahidi hayo, mgombea ubunge wa Kilolo, Ritha Kabati ameiomba Serikali kuliangalia kwa jicho la kipekee eneo la Mlima…

Read More

Mwenyekiti wa Bawacha Siha afariki dunia, Chadema wamlilia

Siha. Mwenyekiti wa Baraza la wanawake wa Chadema (Bawacha) Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Elizabeth Mollel amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Ocean Road, iliyopo Jijini Dar es salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Siha, Imma Saro amesema kiongozi huyo amefariki alasiri Aprili 18, 2025 wakati akipatiwa matibabu…

Read More

UTARATIBU WA BIMA YA AFYA NI KUCHANGIANA SIO MSAADA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kuanza kutekelezwa kwa Bima ya Afya kwa wote itakuwa suluhisho la kudumu la kurahisisha upatikanaji wa huduma za Afya kwa makundi yote nchini ikiwemo wanafunzi Kauli hiyo imebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel leo Jijini Dodoma wakati akijibu swali Namba 305 kutoka kwa Mbunge wa Sikonge,…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 19

Mwanga. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua mradi mkubwa wa maji wa wilaya tatu za Same- Mwanga- Korogwe ambao utanufaisha wananchi zaidi ya 456,931. Mradi huo chanzo chake ni Bwawa la Nyumba ya Mungu, ulianza kutekelezwa mwaka 2014 na sasa awamu ya kwanza imekamilika ukiwa umegharimu zaidi ya Sh300 bilioni. Hatua hii imefikiwa baada…

Read More

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia huku ikijinasibu kuwa na fursa lukuki za uwekezaji Akiongea na wageni waliotembelea banda la TAWA…

Read More

Ligi Kuu Bara yasimama hadi Machi mosi, 2025

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetangaza kuwa baada ya michezo iliyofanyika Desemba 29, 2024 ligi hiyo itasimama hadi Machi mosi itakaporejea kwa mzunguko wa 17. Bodi ya Ligi imetaja sababu ya kusimama kwa Ligi ni kupisha mashindano ya Mapinduzi Cup yatakayo anza Januari 3 visiwani Pemba na mashindano ya fainali za mataifa ya Afrika CHAN…

Read More

UN inazindua mtandao kusaidia wahasiriwa na waathirika wa ugaidi – maswala ya ulimwengu

Ofisi ya UN ya kukabiliana na ugaidi (UNOCT) ilizindua Mtandao wa Vyama vya Ugaidi (Votan) Jumatatu. Mtandao ni matokeo muhimu kutoka ya kwanza UN Global Congress ya wahasiriwa wa ugaidiiliyofanyika mnamo Septemba 2022. Inaleta pamoja waathirika na waathirika wa ugaidi, vyama vya wahasiriwa na mashirika ya asasi za kiraia kutoka kote ulimwenguni. Lengo ni kutoa…

Read More