Sababu Waislam kuchinja Sikukuu ya Eid Udh-hiya

Ibada ya kuchinja (Udh-hiya) ni miongoni mwa alama kuu za Uislamu, ambapo Muislamu anakumbushwa kumwamini Allah Mtukufu kwa kumtakasia ibada, kumshukuru kwa neema Zake, na kufuata utiifu wa Baba yetu Ibrahim (Amani iwe juu yake) kwa Mola wake. Ibada hii ina baraka nyingi na kheri, hivyo ni Sunna iliyosisitizwa kwa Muislamu kuipa umuhimu na kuiheshimu….

Read More

Pantev ageuka mbogo, Sowah, Mukwala kazi wanayo

WAKATI mashabiki wa Simba wakiendelea kununua tiketi ili kushuhudia pambano la kwanza la makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika la Jumapili dhidi ya Petro Atletico ya Angola, kocha wa kikosi hicho, Dimitar Pantev amegeuka mbogo akiwatega washambuliaji wa kati wa timu hiyo. Simba ina washambuliaji watatu matata wakiongozwa na Jonathan Sowah, Steven Mukwala na Seleman…

Read More

Tirdo wanadi maabara inayozuia upotevu wa umeme

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limewataka wenye viwanda na wafanyabiashara kutumia maabara za kupima na kutambua upotevu wa umeme ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Maabara hiyo inamwezesha mtumiaji wa umeme kwenye majengo makubwa, viwandani na majumbani kupunguza matumizi ya nishati hiyo…

Read More

Azam FC yatua kwa Mkongomani

WAKATI dirisha dogo la usajili likitarajiwa kufunguliwa rasmi Januari Mosi, 2026, uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kuipata saini ya beki wa kulia wa AS Vita Club, Mkongomani Henoc Lolendo Masanga, ili kuongeza ushindani wa nafasi. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza uongozi wa Azam unaangalia uwezekano wa kupata saini ya beki huyo mwenye miaka 21,…

Read More