Mzazi tambua mipaka ya kusaka maisha, malezi ya watoto

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa leo, wazazi wengi wanajikuta wakiwa katika mbio zisizokwisha za kutafuta maisha bora. Gharama za elimu, matibabu, makazi na mahitaji mengine ya msingi zimeongezeka. Hivyo, hali hiyo huwalazimu wazazi wengi kutumia muda mwingi kazini au katika shughuli za kujiongezea kipato. Hata hivyo, swali la msingi linalopaswa kujiuliza ni hili: Je,…

Read More

Kihongosi aonya viongozi wanaodhulumu wananchi

Itilima. Mwananchi wa Kijiji cha Lagangabilili wilayani Itilima, mkoani Simiyu, Mzee Majija Madata amewasilisha malalamiko kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akidai kudhulumiwa shamba lake na mmoja wa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya mkoani Shinyanga. Kihongosi yupo mkoani Simiyu tangu Machi 7, 2026 kwa ziara…

Read More

Grayson Msingwa: Hatutavumilia Matumizi Mabaya ya Usajili wa Meli – Video

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa Serikali imethibitisha kuwa meli iliyokamatwa nchini El Salvador ilikuwa imesajiliwa Tanzania kupitia upande wa Zanzibar, huku ikieleza kuwa tayari hatua za kisheria na kiutawala zimechukuliwa. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa, amesema tukio hilo lisitumike kuichafua nchi kwani meli…

Read More

TANAPA SPORT AND HEALTH DAY

Na Pamela Mollel,Arusha. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefanya bonanza la michezo maalum lijulikanalo kama “TANAPA Sport and Health Day” leo tarehe 7 Machi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Machi. Lengo la bonanza hilo ni kuhamasisha mazoezi, kuimarisha afya na…

Read More

Mahakama yaamuru aliyemwibia mwajiri wake arejeshwe nchini

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuamuru Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi Ilala, kuanza na kukamilisha uchunguzi wa malalamiko ya wizi yaliyowasilishwa ofisini kwake na Radhika Pankanj dhidi ya aliyekuwa mfanyakazi wake (Mukesh Menaria). Aidha, imeelekeza kuchukua hatua zote halali na zinazofaa ili kuwezesha uchunguzi huo na kuhakikisha Mukesh anarudi nchini…

Read More

WANANCHI WA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

****** ‎Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa   ya Mpanda, Bw. Gwalusajo Kapande amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa hiyo utaleta mabadiliko chanya kwa wana Mpanda na wageni katika utoaji huduma na mahitaji mbalimbali ya usafiri na usafirishaji, mazingira bora ya shughuli za kiuchumi na ongezeko la mapato…

Read More

Bunge lawaita wananchi kushiriki marathoni

MBUNGE wa Makete na Mwenyekiti wa Bunge Bonanza, Festo Sanga amewataka wananchi kujumuika na wabunge katika mbio za marathoni za Bunge zinazotarajiwa kufanyika Julai 18, mwaka huu. Mbio hizo zinalenga kuchangia damu salama na kuimarisha afya. Marathoni hiyo ambayo ni ya msimu wa tatu inatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Jamhuri, Dodoma ikikutanisha wakimbiaji wa kilomita…

Read More