Watumishi Mkinga waonywa lugha chafu wanapotoa huduma

Mkinga. Watumishi wa Serikali wilayani Mkinga, mkoani Tanga, wameonywa kuepuka matumizi ya lugha za matusi au dharau wanapotoa huduma kwa wananchi, kwani tabia hiyo inaweza kuathiri utoaji wa huduma bora katika ofisi za umma. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Omari Mashaka, wakati wa mafunzo elekezi kwa watumishi wa…

Read More

SERIKALI KUNYOOSHA TARATIBU ZA UFADHILI.

……. Na Carlos Claudio, Dodoma. Serikali imetenga Shilingi bilioni 5 kufadhili wanafunzi 20 wa Shahada ya Uzamili katika fani za Sayansi Takwimu (Data Science), Akili Unde (Artificial Intelligence) na Sayansi Shirikishi kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended (SSE DS/AI+), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa taifa kuimarisha rasilimali watu katika teknolojia za kisasa. Wanafunzi 10…

Read More

Samia awataja wakulima akiahidi kongani za viwanda

Mbalizi.  Leo ikiwa ni siku ya nane tangu kuzinduliwa kwa kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, mgombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa ahadi kwa wananchi endapo watamchagua. Katika maeneo yote aliyopita, mgombea huyo amekuwa akitoa ahadi zinazolenga kuchochea maendeleo na ustawi wao hasa katika huduma…

Read More

Gueye, Oura wamuibua Barker | Mwanaspoti

VIWANGO vya nyota wapya wa Simba, Libasse Guaye na Anicet Alain Oura, ambao wamesajiliwa katika dirisha dogo la Januari 2026, vimeanza kuvutia katika safu ya ushambuliaji ya wekundu wa Msimbazi huku kocha Steve Barker akitaka kuona muendelezo kutoka kwa wachezaji hao. Guaye amefunga…

Read More

Samia aahidi makubwa Pangani, akimsifu Aweso

Tanga. Mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema mgombea ubunge wa jimbo la Pangani Jumaa Aweso amefanya kazi kubwa iliyofanya upatikanaji wa maji kufikia asilimia 85. Amesema katika kipindi kijacho cha miaka mitano mpango wa Serikali ni kuhakikisha inamaliza changamoto ya maji kwenye maeneo yote yaliyosalia ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata maji safi na…

Read More