Hivi ndivyo neno ‘dollar’ lilivyozaa daladala

Miji bila daladala hainogi, walijua hilo? Na kwa nini kusiwe na daladala wakati ni ngumu kwa kila mwanamjini kumiliki kipando chake? Kwa lugha ya vijana isiyo rasmi, usafiri wa daladala ndio mpango mzima, maana haubagui mtu, ni wewe, miguu na pesa yako, hata kama usafiri wenyewe baadhi ya nyakati unakengeuka misingi ya utu. Tuyaache hayo,…

Read More

Pande mbili za kufutwa kwa shahada za elimu ya ualimu

Tangazo la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) la tarehe 18 Julai 2025 likibainisha kuwa chuo hicho hakitapokea waombaji wa shahada tisa za elimu ya ualimu limebua hisia tofauti. Kwa mujibu wa tangazo hilo, kwa mwaka wa masomo wa 2025/26 chuo kicho hakitapokea maombi ya udahili kwenye shahada za Elimu ya Ualimu katika Sayansi, Saikolojia, Biashara,…

Read More

Biashara ya chakula yatawala kwa Mkapa

ACHANA na mauzo ya jezi, biashara inayoonekana kuuzika kwa kiasi kikubwa ni vyakula mbalimbali. Ukiwatoa wale wanaouza kwenye mabanda hatua chache kidogo na Uwanja wa Mkapa, kuna walioweka meza pembezoni mwa uwanja huo uliowekewa uzuo. Kila aina ya chakula unayoijua ipo kwa Mkapa siyo chipsi na vitu vingine wala wali na ugali zipo sambusa zile…

Read More

Mhandisi Mativila aridhishwa Utekelezaji wa Miradi ya Barabara ya Mtili-Ifwagi na Sawala-Iyegeya

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila ametembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa barabara za Mtili–Ifwagi na Sawala-Iyegeya, ambapo ameonesha kuridhishwa na miradi hiyo. Barabara hizo zinazojengwa na TARURA kwa lengo la kurahisisha usafirishaji wa mazao ya chai, misitu, mbogamboga na mazao mengine kufika sokoni kwa  wakati. Amesisitiza kuwa…

Read More

Kesi ya mauaji ya mtoto Asimwe yapigwa Kalenda

Bukoba. Kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2), imeahirishwa hadi Agosti 9, 2024. Kesi hiyo iliitwa leo Ijumaa, Julai 26, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba kwa ajili ya kutajwa. Washtakiwa wote tisa kwenye kesi hiyo ya mauaji namba 17740 ya mwaka 2024 walikuwepo. Mshtakiwa hao ni Padri Elipidius Rwegoshora na…

Read More

Wananchi walalamikia rushwa kituo cha afya “walichukua zaidi ya laki mbili kumtibu “

Wananchi katika Kata ya Nyarugusu Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wamewatuhumu kwa kuwalalamikia Baadhi ya watumishi wa kituo cha afya Nyarugusu Kwa kuomba rushwa kwa Mgonjwa anayekwenda kupata matibabu pkituoni hapo bila kupewa stakabadhi ya Malipo huku wakiomba TAKUKURU kuchunguza watumishi hao. Wakizungumza katika Mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CCM KUJENGA DARAJA NYAMASENGE CHATO

Kulia ni mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kusini, Paschal Lutandula na kulia ni mhandishi wa Wakala wa barabara mjini na vijijini, Ernest Nyanda. Wa kwanza mbele ni mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kusini, Paschal Lutandula,akikagua daraja la miti ………………. CHATO MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo mkoani…

Read More

Trident yagoma kumuachia Sichone | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI kinda wa Kitanzania, Mourice Sichone yupo kwenye mvutano baada ya klabu anayoitumikia Trident FC ya Zambia kukataa kumuachia, huku mchezaji huyo akionyesha nia ya kurejea nyumbani Tanzania. Kinda huyo (18) alisajiliwa katika dirisha dogo msimu uliopita akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo alikocheza mechi 12 na kuhusika katika mabao tisa akifunga manne na…

Read More