Tanzania Sasa Kitovu cha Matibabu ya Kibingwa

Waziri wa Afya nchini, Ummy Mwalimu akiangalia maonyesho  kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA). mkutano huo wa siku mbili unaendelea jijini Dar es Salam na utamaliza Mei 3,2024. Waziri wa Afya nchini, Ummy Mwalimu akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Madaktari Bingwa wa…

Read More

Mambo matano yaliyoirejesha Pamba Ligi Kuu

Wikiendi iliyopita Pamba Jiji ilivunja mwiko wa miaka 23 kutopanda daraja kwenda Ligi Kuu tangu iliposhuka mwaka 2000, ilipoifunga Mbuni FC ya Arusha mabao 3-1 na kutimiza ndoto iliyosubiriwa kwa miaka mingi na mashabiki wa soka jijini Mwanza na nchini.  Pamba ilipanda Ligi Kuu ikivuna jumla ya pointi 67 baada ya kucheza mechi 30, ikishinda…

Read More

JKT kuzalisha lita milioni 28 za mafuta ya mawese

Kigoma. Katika kupambana na changamoto ya uhaba wa mafuta ya kula nchini, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linatajia kuzalisha lita za milioni 28 za mafuta ya mawese. Takwimu zilizotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka 2021, mahitaji ya mafuta ya kula nchini ni tani 570, 000 wakati uzalishaji nchini ni tani 210,000 tu. Mwenyekiti wa…

Read More

TMA: Kimbunga Hidaya kinaendelea kusogea, kuimarika

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Ijumaa, Mei 3, 2024 saa 3:00 asubuhi imetoa taarifa ya kuimarika na kuendelea kusogea kwa Kimbunga Hidaya katika pwani ya Bahari ya Hindi. “Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi mashariki…

Read More

MIAKA 25 YA HUDUMA YA MTOTO WAZAZI WAPEWA NENO.

Wazazi na walezi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao nyakati zote katika kuhakikisha wanakuwa na maadili mazuri ili kupunguza matukio ya unyanyasaji na ukatili kwa watoto Wito huo umetolewa na Diwani viti maalumu Tarafa ya Mbugwe Wilaya ya Babati Mkoani Manyara Bi Naomi Sangu Wakati wa Maadhimisho ya miaka 25 ya Huduma ya mtoto na…

Read More

CMA, TIC waingia makubaliano kupunguza migogoro ya wawekezaji, wafanyakazi

Dar es Salaam. Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wameingia makubaliano ya ushirikiano katika kupunguza migogoro ili kuboresha mazingira kwa wawekezaji nchini Tanzania. Makubaliano hayo yamesainiwa jana Alhamisi Mei 2, 2024 jijini Dar es Salaam, katika kipindi ambacho TIC inajivumia ongezeko la wawekezaji katika sekta mbalibali nchini. Akizungumza wakati…

Read More

RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA – LINDI

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za maendeleo ya Wananchi, na hivyo kuifanya Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kufanya kila linalowezekana kurejesha mawasiliano ya barabara…

Read More