Mgogoro wa Iran, Israel wamkwamisha Wazir Jr Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a, Wazir Jr Shentembo amesema mgogoro kati ya Iran na Israel umesitisha safari za ndege kwa timu kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga msimu wa 2020/21, alijiunga na timu hiyo iliyopo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi yenye timu 20, kwa mkataba wa miezi sita mwanzoni…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Andabwile, Kagoma nisikilizeni kwa umakini

DIRISHA la usajili lilichangamka sana wiki hii hasa kwa timu mbili vigogo nchini Simba na Yanga ambazo zilitambulisha baadhi ya wachezaji wao na wengine zikawapa ‘Thank You’. Miongoni mwa wachezaji waliotambulishwa ni viungo wawili wakabaji, Yusuf Kagoma na Aziz Andabwile ambao msimu uliopita walikuwa wakiitumikia Singida Fountain Gate. Aziz Andabwile alitambulishwa na Yanga ikionekana ni…

Read More

Mfanyabiashara akutwa amefia ndani Arusha

Arusha. Mfanyabiashara, Shangwe Julius (35) amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake iliyopo kata ya Olgilai, Wilaya ya Arumeri, mkoani Arusha. Mfanyabiashara huyo wa bidhaa za kilimo amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake, huku baadhi ya wakazi wakidai kifo hicho kimesababishwa na matumizi makubwa ya pombe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amethibitisha…

Read More