DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More

Simba kuachana na Yussif Basigi mwisho wa msimu

Simba Queens iko kwenye mpango wa kuachana na Kocha Mkuu, Yussif Basigi mwishoni mwa msimu huu kutokana na kile alichokionyesha Ligi Kuu kutowaridhisha mabosi wa timu hiyo. Kocha huyo aliyejiunga na Simba akitokea Hasacaas Ladies ya Ghana na ukiwa ni msimu wake wa kwanza kwenye ligi, amepoteza mchezo mmoja dhidi ya Yanga Princess na sare…

Read More

Nyoni: Yanga ni bora, lakini inafungika

KIRAKA wa Namungo, Erasto Nyoni amefunguka kuwa hivi sasa wanaitazama zaidi Yanga ambayo ameitaja ni bora lakini inafungika. Namungo inatarajia kuwa ugenini dhidi ya Yanga, Mei 13 mwaka huu kwenye Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Katika maandalizi ya mchezo huo, Namungo imejichimbia Dodoma huku rekodi zikionesha…

Read More

Vodacom kurejesha vifurushi kwa walioshindwa kuvitumia

Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeutangazia umma na wateja wake kurejesha huduma za kimtandao kikamilifu, ikieleza walioshindwa kutumia huduma ya intaneti watarejeshewa vifurushi vyao.  Kwa muda wa siku nne mfululizo nchini watumiaji wa huduma za mtandao walipata changamoto kutokana na kupungua ubora wa intaneti kulikosababishwa na kukatika nyaya za mkongo …

Read More