Wababe wa Simba na Yanga katikati ya mtego

AL Ahly ya Misri itabeba tena? Hilo ndilo swali  lililopo vichwani mwa mashabiki na wapenzi wa soka Afrika kwa sasa, wakati wakisubiri mechi mbili za fainali za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi hizo zitakazopigwa kati ya Mei 18 na 25 mwaka huu itakutanisha watetezi hao wanaoshikilia taji la 11 dhidi ya mabingwa mara…

Read More

Licha ya ongezeko la fedha, mambo bado Wizara ya Kilimo

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imesema pamoja na Serikali kuendelea kuongeza bajeti ya kilimo, bado haikidhi mahitaji halisi ya sekta hiyo kwa kuzingatia matakwa ya utekelezaji wa Azimio la Maputo (2003) na Malabo (2014) linalozitaka nchi wanachama kutenga asilimia 10 ya bajeti ya Taifa kwa ajili ya sekta…

Read More

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Na Mwandishi Wetu, Arusha ZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na kati yao kubainika kuwa wana tatizo la uzito uliopitiliza. Pia kati ya watu hao hakuna aliyebainika kuwa na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU), lakini mmoja amekutwa na dalili zote za kifua kifuu…

Read More

BALOZI MBAROUK AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA

NaibuWaziri wa Mambo na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi MbaroukNassor Mbarouk (Mb) akifungua Mkutano wa Nne wa Baraza la Wafanyakazi laWizara lililofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifacha Arusha (AICC) tarehe 02 Mei, 2024 ……………… Naibu Waziri Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amefungua Mkutanowa Nne wa Baraza…

Read More