Neema kwa wagonjwa wa saratani

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan imezindua kituo cha matibabu ya saratani chenye hadhi ya kimataifa (CCC), kitakachotoa huduma kwa wagonjwa wa hospitali hiyo na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) kilichogharimu Sh29.9 bilioni. Saratani inazidi kukua nchini, huku takwimu zikionyesha wagonjwa wapya 40,000 hugundulika, huku 27,000 wakifariki kwa saratani kila mwaka. Hata…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MIUNDO MBINU YA ELIMU

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb) amsema serikali inatambua umhimu na itaendelea kuboresha miundombinu ya Elimu ikiwemo Mabweni ya Wanafunzi, Uzio, Majengo ya Utawala na Mabwalo kupitia Miradi mbalimbali. Mhe. Katimba amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha Maswali na…

Read More

Ishu ya Kibwana na Azam ipo hivi

Beki wa Yanga, Shomari Kibwana ni kati ya wachezaji ndani wa kikosi hicho ambao mikataba yao inaishia mwisho wa msimu huu (2023/244), lakini bado hajaanza mazungumzo ampya na viongozi wake. Wakati Yanga ikijivuta kukaa naye mezani, kuna taarifa chini ya kapeti zinaeleza kwamba Azam FC imepeleka ofa ya kuhitaji huduma yake kwa ajili ya msimu…

Read More

Tshabalala awaachia msala wazawa Simba

SIMBA bado kunafukuta. Timu hiyo inapitia kipindi kigumu cha mpito ambacho mambo mengi yametokea na yatatokea lakini wakijipanga vizuri yatapita na wakali hao wa Msimbazi watarejea kwenye ubora na uimara wao kama taasisi imara ya soka. Wakati upepo huo ukiendelea kupita Simba, Mwanaspoti inakudokeza sababu nyingine ambayo imeifanya timu hiyo kukosa uimara. Si nyingine ni…

Read More