KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA SHERIA NDOGO YATEMBELEA TRC

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo imekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuhusu Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa watoa Huduma Binafsi ya 2024, inayosimamiwa na Shirika hilo jijini Dar es Salaam 2 Agosti 2024. Akizungumza mara baada ya mazungumzo hayo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa…

Read More

Bocco awaaga Simba, mastaa watia neno

BAADA ya kudumu misimu saba ndani ya Simba, nahodha wa timu hiyo, John Bocco amewaaga mashabiki na mastaa wenzake wa timu hiyo kwa kuweka wazi kuwa huu ndiyo mwisho wake wa kuonekana ndani ya kikosi hicho akicheza. Bocco kupitia mtandao wake wa kijamii ameandika: “First and Last thanks Lion” akiwa na maana kwamba ni mwanzo…

Read More

Tume ya FCC na CTI zasaini hati za makubaliano

Tume ya ushindani nchini FCC na shirikisho la wenye viwanda tanzania CTI zimesaini mkataba wa mashirikiano ya namna bora ya kubadlishana taarifa hasa kwenye sheria ya ushindani ya alama za bidhaa. Makabidhiano hayo yamesainiwa jijin Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine wameeleza ushirikiano huu utasaidia viwanda kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi na…

Read More

Janga la asili ambalo limeathiri watu wengi ulimwenguni kuliko maswala mengine yoyote ya ulimwengu

Mifugo mashariki mwa Mauritania inakufa kwa sababu ya ukame. Mikopo: UNHCR/Caroline Irby Maoni na Danielle Nierenberg (Baltimore, Maryland) Jumatano, Mei 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BALTIMORE, Maryland, Mei 14 (IPS) – Hapa kuna swali: Katika miaka 40 iliyopita, ni janga gani la asili ambalo limeathiri watu wengi kote ulimwenguni kuliko nyingine yoyote? Jibu,…

Read More

Ajali ilivyoua watu 10 mkesha wa mwaka mpya

Morogoro. Mbali na dereva wa lori kuhama njia na kugongana uso kwa uso na basi, ajali iliyosababisha vifo vya watu 10 na wengine 23 kujeruhiwa, mvua na mwendokasi pia vinatajwa kuwa chanzo. Baadhi ya majeruhi wakizungumza leo, Januari mosi, 2026, wakiwa wodini katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, wameeleza waliyoshuhudia katika ajali hiyo…

Read More

Chipukizi yafyeka 10 Ligi Kuu Zanzibar 

KIKOSI cha Chipukizi United kinachoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, kimefyeka wachezaji 10, huku ikiendelea kujisuka upya kwa kunasa saini za nyota watano na kutupia jicho michuano ya CHAN ili kujenga kikosi hatari kwa lengo la kupambania kutwaa mataji yote ya ndani. Chipukizi iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita ikimaliza nafasi ya tisa kati ya timu 16 zinazoshiriki…

Read More

Madiwani wapewa nondo kuboresha utendaji

Mufindi. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, wametakiwa kusikiliza zaidi wananchi ni kitu gani wanahitaji kwenye maeneo yao, kuliko kuwaamulia bila kuwashirikisha. Hayo yameelezwa leo Jumatano Desemba 3, 2025 na mwenyekiti wa muda wa uchaguzi, ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Mufindi, Reuben Chongolo, wakati madiwani wakila kiapo na kutoa…

Read More