Jeshi la Magereza latangaza ajira kwa vijana, omba hapa

Dar es Salaam. Jeshi la Magereza limetangaza nafasi za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu ya kuanzia kidato cha nne na wenye ujuzi katika fani mbalimbali kuanzia ngazi ya stashahada hadi shahada. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Kamishna Jenerali wa Magereza, Jeremiah Katungu leo Agosti 15, 2025, vijana watakaokidhi vigezo watapaswa kuomba kupitia…

Read More

SERIKALI YAWAVUTIA KASI WATUMISHI WAZEMBE

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deus Sangu,akizungumza   kwenye Kikao kazi cha Watumishi wa Manispaa ya Tabora mara baada kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi, ikiwa ni ziara ya kimkakati ya kuwafuata watumishi katika maeneo yao ya kazi badala ya kuja Dodoma. MKUU wa Mkoa wa Tabora…

Read More

Rich Panda kutoka Meridianbet ndiyo suluhisho

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekujia na mchezo mpya wa Sloti ya kasino mitandaoni unafahamika kama Rich Panda. Mchezo huu unakupa fursa ya kupiga mkwanja wa kutosha. Ukicheza mchezo wa Rich Panda kutoka Meridianbet unapata fursa ya kujishindia mamilioni kuptia Sloti hii ambayo inabamba zaidi mjini kwasasa. Kwanini Ucheze Rich Panda?…

Read More