Dk Nchimbi aahidi neema Tarime, makundi ya ubunge yavunjwa

Tarime.  Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, viongozi wa chama hicho wamevunja makundi yaliyotokana na ubunge wa Tarime Vijijini. Dk Nchimbi amesema Serikali ya CCM Itatekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika vipande vinne na kupanua zaidi…

Read More

Folz kuwashushia mziki Waangola Kwa Mkapa

KOCHA wa Yanga, Romain Folz amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Wiliete akidai  atawashushia mziki kamili Waangola katika mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Kwa Mkapa, kesho. Akizungumza leo, Folz amesema hana presha na lolote juu ya kikosi chake kwa kuwa kipo njia salama na kwamba…

Read More

Rushwa ya Serikali Inasababisha Mgogoro wa Haki za Binadamu Katika Sudani Kusini, Jopo Huru hupata – Maswala ya Ulimwenguni

Kulingana na miaka miwili ya uchunguzi wa kujitegemea na uchambuzi, ripoti Inafunua jinsi mapato ya mafuta na yasiyo ya mafuta yanavyoondolewa kupitia miradi ya opaque na mikataba iliyounganishwa kisiasa. Wakati huo huo, mamilioni ya Sudan Kusini wananyimwa huduma za msingi. “Ripoti yetu inasimulia hadithi ya uporaji wa taifa: ufisadi sio wa bahati mbaya, ni injini…

Read More

Walimu hawana miujiza kumbadili mwanao

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za leo, imezuka dhana potofu kwamba kazi ya kulea watoto ni ya walimu. Wazazi wengi wamejikuta wakitelekeza jukumu lao la msingi, wakikabidhi watoto wao kwa walimu kana kwamba shule ndiyo nyumba ya pili ya mtoto kwa kila jambo. Mtoto anaposhindwa kimaadili au kielimu, lawama huelekezwa kwa walimu kwa haraka mno,…

Read More

Tembo Warriors kupaa  kuifuata CECAAF

KOCHA wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Warriors, Ivo Mapunda amesema timu hiyo itaondoka nchini kesho kwenda Bujumbura, Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Soka kwa Watu wenye Ulemavu (CECAAF). Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 8-14, yamegawanywa katika makundi mawili. Tembo Warriors ikipangwa Kundi B pamoja na Kenya…

Read More

RAIS NDAYISHIMIYE AWASILI TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA 25 JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ARUSHA.

:::::::::: Rais wa Jumhuri ya Burundi  Évariste Ndayishimiye amewasili katika Uwanja wa Ndega wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Mkoani Kilimanjaro, kushiriki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaofanyika leo tarehe 7 Machi 2026 katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha.  Akiwasili Mkoani humo amepokelewa na…

Read More

Mgogoro wa kibinadamu ‘unazidi’ nchini Afghanistan wakati vita vinapozuka katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Mzozo wa Mashariki ya Kati unaongeza matatizo na ukosefu wa utulivu kwa Afghanistan huku bei ya bidhaa tayari ikipanda katika “uchumi ambao tayari ni dhaifu”, kulingana na Georgette Gagnon, Afisa Msimamizi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo.UNAMA), ambaye mamlaka yake yanasasishwa baadaye mwezi huu katika Baraza la Usalama. Wakati huo huo, njia ya…

Read More

TEITI YASHIRIKI MAONESHO YA NANE YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI MKOANI GEITA

-Tanzania yaendelea kutekeleza Vigezo vya Kimataifa vya EITI kikamilifu -Uwazi wa Mikataba katika sekta ya uziduaji waanza kutekelezwa. GEITA* Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa tarehe 22 Septemba, 2025 na Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa.Imeelezwa kwamba, tangu Tanzania ijiunge na Asasi ya Kimataifa ya EITI iliyopo nchini Norway, TEITI imeendelea…

Read More

Masele, Katambi waitwa jukwaani kuyamaliza, Dk Nchimbi asema…

Shinyanga. Jimbo la Shinyanga Mjini, ni moja kati ya majimbo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) yaliyokuwa na mvutano mkali katika mbio za kumpata mgombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Kati ya watinia lukuki waliojitokeza, Patrobasi Katambi na Stephen Masele ndiyo walikuwa katika vuta nikuvute kubwa. Wawili hao, wamekuwa kwenye ‘vita’…

Read More