MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA BRAZIL NA AFRIKA WA KILIMO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema ili kudhiti janga la njaa na umasikini pamoja na kuharakisha maendeleo ya vijijini, ni vema mataifa kushirikiana kwa pamoja kwa kuwa masuala hayo ni janga la linalovuka mipaka ya nchi. Makamu wa Rais ametoa wito huo alipokuwa akitoa hotuba wakati wa…