Hersi afafanua ukweli ulivyo madai ya kuishambulia Simba

BAADHI ya mashabiki wa Simba wanalia juu ya uwasilishaji uliofanywa na Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Chama cha Klabu za Soka Afrika (ACA), Injinia Hersi Said kwenye kongamano la soka lililoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la  Kimataifa (FIFA) wakidai bosi huyo aliwamaliza, lakini mwenyewe ametoa ufafanuzi. Akizungumza na Mwanaspoti akiwa Qatar kulikofanyika…

Read More

Rais Samia kufanyiwa maombi maalum

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Kanisa la Uamsho na Matengenezo ya Kiroho, limeandaa kongamano la maombi maalum ya kuliombea Taifa pamoja na  Rais Dk. Samia Suluhu Hassan yatakayofanyika Aprili 28,2024 kwenye viwanja vya Suma JKT, Mwenge jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa  habari leo Aprili 23,2024, jijini, Kiongozi wa kanisa hilo, Mwalimu Augustine …

Read More

FUAD SHUKR KUZIKWA ALHAMISI BAADA YA KUUAWA KATIKA SHAMBULIO LA ANGA LA ISRAEL – MWANAHARAKATI MZALENDO

Hezbollah imethibitisha kifo cha mmoja wa makamanda wake wakuu wa kijeshi, Fuad Shukr, aliyefariki katika shambulio la anga la Israel huko Beirut, mji mkuu wa Lebanon. Mwili wa Shukr, aliyekuwa na umri wa miaka sitini, ulipatikana Jumatano jioni kwenye vifusi vya jengo lililoshambuliwa siku ya Jumanne. Shukr alikuwa mshauri mkuu wa kijeshi wa kiongozi wa…

Read More

Pamoja na changamoto, UNRWA inasema 'maendeleo yasiyolingana' yaliyofanywa wakati wa kusitisha mapigano – maswala ya ulimwengu

Timu za wakala zimefanya kazi karibu na saa hiyo kutoa huduma kwa watu ambao wamezidiwa kufuatia miezi 15 ya kupigwa risasi mara kwa mara, kuhamishwa, na ukosefu wa vifaa muhimu, shirika hilo lilisema katika taarifa kwa waandishi wa habari. “Hii inaonyesha UnrwaKujitolea kwa kusaidia familia huko Gaza kupitia shida hii ya kibinadamu isiyo ya kawaida“Alisema…

Read More

Baresi aanza kazi kimyakimya KMC

KOCHA Abdallah Mohammed ‘Baresi’ ni kama ameanza kazi kimyakimya KMC kwani hivi sasa kuna jambo analifanya chini kwa chini na akikamilisha tu, basi atatangazwa rasmi. Taarifa zinabainisha KMC ilimalizana na Baresi na kinachofanyika sasa ni kocha huyo ameanza kazi ya kuliunda upya benchi la ufundi kabla ya kutangazwa. Mmoja wa viogozi wa KMC, aliliambia Mwanaspoti,…

Read More

Bashe atangaza vita dhidi ya ‘cartel’ kwenye tumbaku

Dar es Salaam. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, , ametoa maelekezo yenye lengo la kukabili ‘cartel’ kwenye zao la tumbaku, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha magunia yenye thamani ya zaidi ya Sh1.4 bilioni yanarejeshwa kwa wakulima. Magunia hayo yamekamatwa katika operesheni ya Serikali kwenye mikoa ya Tabora na Shinyanga baada ya kuuzwa tena kwa wakulima…

Read More