Malcolm X alivyotekeleza maono ya Mwalimu Nyerere Marekani

Februari 21, 1965, saa 9:30 alasiri, New York, Marekani, taarifa kutoka Hospitali ya Columbia Presbyterian, ilikuwa yenye mguso mkubwa wa simanzi. Kiongozi wa kijamii, Malcom X au el-Hajj Malik el-Shabazz, alikuwa amekamilisha tarakimu zake duniani. Miaka 60 imetimia tangu nafsi ya X ilipoagana na mwili. Wanaharakati na viongozi wa kijamii wanaibuka kizazi kwa kizazi. Pamoja…

Read More

Aziz KI amtaja Pacome Marekani

WAKATI timu anayoichezea sasa ya Wydad Casablanca ya Morocco ikiaga fainali za Kombe la Dunia la Klabu, kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki amevunja ukimya akazungumza na Mwanaspoti kutokea Marekani. Unaambiwa kwamba mchezaji huyo ambaye aliondoka Yanga akiwa na faida nyingi ikiwamo kumuoa binti mrembo wa Kitanzania, mwanamitindo Hamisa Mobetto, kaiambia Mwanaspoti kwamba kuna jambo ambalo…

Read More

Makamba ataja maeneo ya kuboresha mambo ya nje

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametumia takribani saa moja kuelezea maeneo ambayo yatajajadiliwa katika warsha ya Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani inayofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha kuanzia tarehe 21 hadi 24 Aprili 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

WAWEKEZAJI WAITWA KUWEKEZA MWANGA.. – MICHUZI BLOG

NA WILLIUM PAUL, MWANGA. MKUU wa wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Mwanahamisi Munkunda amewataka wawekezaji kwenda kuwekeza katika wilaya hiyo kwani tatizo la maji ambalo lilikuwa kero kwao limeshapatiwa ufumbuzi wa kudumu. Alitoa kauli hiyo jana alipofanya kikao na Wadau wa maji na menejimenti ya Mamlaka ya Maji Same Mwanga (Samwasa) mara baada ya kutembelea…

Read More

JUMBE AREJESHA FOMU YA UBUNGE SHINYANGA MJINI

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi James Jumbe Wiswa leo Julai 2, 2025 amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu katika ofisi za CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi Wiswa amesema zoezi…

Read More

KITUO CHA MAFUTA KUAMBIA CHAZINDULIWA

Na. Damian Kunambi, Njombe Zaidi ya Lita 200 za mafuta ya petrol na diesel yametolewa bure kwa magari mbalimbali na madereva bodaboda baada ya mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas kuzindulia kituo kipya cha mafuta Wilayani Ludewa Mkoani Njombe kinachomilikiwa na Imani Haule ambaye ndiye mmiliki wa Kampuni ya Kuambiana Investment. Hatua hiyo imefikiwa…

Read More

WADAU WA JOTOARDHI KUKUTANA TANZANIA

Meneja Makuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC),Mathew Mwangomba, akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 2,2024 jijini Dodoma kuelekea kwenye Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika litakalofanyika kuanzia Oktoba 21 hadi 27,mwaka huu jijini Dar es Salaam. Na.Alex Sonna-DODOMA WIZARA ya Nishati kwa kushirikiana na Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) pamoja na…

Read More

Radi yaua watano wa familia moja, yajeruhi sita Chunya

Mbeya. Watu watano kutoka jamii ya wafugaji wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku. Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Isangawane, Kata ya Matwiga, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya na inaelezwa kuwa hili ni tukio la pili kwa mwezi huu ambapo radi iliyotokea awali…

Read More