KAZOBA INTERNATIONAL HERBAL PRODUCTS YAWA KIMBILIO LA TIBA ASILI,MAMIA WAHUDUMIWA SERIKALI YAMKUBALI YAMPATIA CHETI CHA KUKUBALI HUDUMA ZAKE

By ngilishonews.com MTAALAMU Maarufu wa Tiba asili nchini , kupitia taasisi yake ya Kazoba International Herbal Products amewashauri  watoa huduma za tiba asili hapa nchini, kusajili huduma zao pamoja na dawa zao kwa kufuata sheria ili kuunga mkono juhudi za serikali. Dkt Kazoba mbali na kutoa huduma hiyo ya Tiba asili pia kupitia taasisi yake…

Read More

The Citizen Rising Woman; Fursa ya wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la tano la The Citizen Rising Woman linalotarajiwa kufanyika leo Ijumaa, Machi 7, 2025 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam. Kuwapo kwa Naibu Waziri Mkuu ni ishara ya kusisitiza dhamira ya Serikali ya kukuza usawa…

Read More

Wananchi wataka wizi wa karafuu udhibitiwe, Serikali yatoa kauli

Pemba. Wizi wa karafuu umezua hofu kubwa kwa wananchi wa Shehia ya Mgelema, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba. Wameiomba Serikali kuanzisha operesheni maalumu za kuwakamata wahalifu wanaojihusisha na wizi wa zao hilo, ambao umesababisha umaskini mkubwa miongoni mwa wakulima. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na  Mwananchi katika Kijiji cha Mgelema wilayani humo, Julai 23,…

Read More

Badru amvulia kofia Kocha Taifa Stars

KOCHA wa zamani wa timu za vijana za Azam FC, Mohamed Badru amepongeza kazi kubwa inayofanywa na kocha wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, pamoja na benchi lake la ufundi katika michuano ya CHAN 2024 yanayoendelea ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza na Mwanaspoti, Badru alisema kiwango kilichooneshwa na Stars hadi kutinga robo fainali ni cha…

Read More