Konokono wazua balaa mashambani Mbeya

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea tangu mwaka jana ambapo athari haikuwa kubwa kulinganisha na mwaka huu ambapo mvua zinaendelea kunyesha. Wakizungumza na Mwananchi leo Januari 18, baadhi ya wananchi waliokumbwa na uharibifu huo wamesema bado…

Read More

Straika la mabao Kotoko laingia rada za Simba

SIMBA wako siriazi na mambo yanakwenda kimyakimya. Mwanaspoti linajua mpaka jana jioni kwa uchache ilishamalizana na majembe mawili. Lameck Lawi (Coastal Union) huyu ni beki. Serge Pokou (Asec) ni kiungo. Lakini hata Yusuph Kagoma (Singida FG) kila kitu kimeshakamilika kwa asilimia kubwa. Ishu ya kocha wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na Steve Komphela kutoka…

Read More

Kesi anayedaiwa kujifanya ofisa polisi yakwama

Dar es Salaam. Kesi ya kujitambulisha kuwa ni askari polisi inayomkabili mfanyabiashara Msafiri Maulid (48), imeshindwa kuendelea na usikilizwaji, baada ya upande wa mashtaka kutokuwa na shahidi. Maulid, maarufu kama Msafiri Mahita na mkazi wa Mbezi Juu, anakabiliwa na shtaka moja la kujitambulisha kwa kepteni wa JWTZ kuwa yeye ni askari polisi na kuongozana na…

Read More

TIA Yapongezwa kwa Juhudi za Kuendeleza Ubunifu, Ujasiriamali na Miundombinu ya Elimu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imepongezwa kwa kuwa mstari wa mbele kupitia mpango wa vituo atamizi, unaowawezesha wanafunzi kujiajiri, kuajirika, na kuchangia uchumi wa taifa. Aidha, wamepongezwa kwa kuwaendeleza wanafunzi wenye mawazo ya kibunifu ili waweze kufanikisha malengo yao. Pongezi hizo zimetolewa leo Desemba 13, 2024 Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

Bodaboda auawa kwa kuchomwa kisu ikidaiwa kugombania abiria

Shinyanga. Kijana mmoja, mkazi wa Mtaa wa Tambukareli, manispaa ya Shinyanga, Bernado Massanja (24) ameuawa kwa kuchomwa kisu maeneo ya kifuani, upande wa kushoto, wakati wakigombania abiria. Kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi kama bodaboda, anadaiwa kuuawa na mwenzake wakati wakigombania abiria ili kujiingizia kipato. Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta mhusika katika tukio hilo. Kamanda wa…

Read More

TBT Queens yaichapa Spides Sisters

TBT Queens ilifanya kweli ni baada ya kuifunga timu ya Spides Sisters kwa pointi 54-44, katika ligi ya kikapu ya Mkoa wa kigoma iliyofanyika katika Uwanja Lake Side. Katibu mkuu wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kigoma Aq Qassim Anasi, alisema ligi hiyo itaendelea  kesho kwa mchezo kati Lake Side na Wavuja Jasho….

Read More

Ole Sendeka akemea uzururaji wa kiimani

Mirerani. Mbunge wa Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, amewataka wanajamii kuepuka tabia ya kuhama kutoka dhehebu moja la dini kwenda jingine, akisema tabia hiyo inaashiria ukosefu wa imani thabiti. Akizungumza leo Alhamisi, Desemba 12, 2024, katika maziko ya mwanamazingira maarufu, Amos Kaaya yaliyofanyika katika Mtaa wa Cairo, mji mdogo wa Mirerani, Ole Sendeka amesema…

Read More