Huyu ndiye Patrick Mabedi, msaidizi mpya wa Folz Yanga

KLABU ya Yanga, leo Oktoba 13, 2025 imemtambulisha Patrick Mabedi kuwa kocha msaidizi wa timu hiyo chini ya Mjerumani, Romain Folz. Mabedi ametua Yanga kuchukua nafasi ya Manu Rodriguez, aliyewasilisha barua ya kuomba kuvunja mkataba wake kufuatia kupata changamoto ya kiafya. Patrick Mabedi amezaliwa Novemba 5, 1973, mwaka huu anatimiza miaka 52. Huyu ni kocha…

Read More