Samia ateua majaji wanne Mahakama ya Rufani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa majaji wa Mahakama ya Rufani wanne. Pia ameteua wenyeviti wa bodi na kumpangia kituo cha kazi balozi mmoja. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Januari 10, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka walioteuliwa Latifa Alhinai Mansoor anayekuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani….

Read More

Serikali itahakikisha Huduma bora za Afya kuwafikia hata wale wasio na fedha-Waziri Mkuu

 Na Pamela Mollel,Arusha  Serikali inafanya kila iwezavyo uhakikisha kuwa wananchi wa Tanzania wanapata huduma bora za afya hata pale ambapo watakuwa hawana fedha za kulipia. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameongeza kuwa, Tanzania inafanya jitihada zingine za kuhakikisha vifaa tiba pamoja na madawa ya kutosha sio tu yanapatikana kwa wingi nchini bali pia yanasambazwa katika kila…

Read More

MATUMIZI BORA YA ARDHI KUONDOA MIGOGORO BIHARAMULO

……. Na Daniel Limbe,Torch media WANANCHI wilayani Biharamulo mkoani Kagera wametakiwa kuheshimu mipaka ya maeneo yaliyotengwa kwaajili ya matumizi bora ya ardhi ili kuepusha migogoro isiyokuwa ya lazima katika jamii. Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya hiyo,Innocent Mkandara,ametoa agizo hilo kwenye kikao cha Baraza la madiwani wa halmashauri hiyo na kuwataka watendaji wa Umma kusimamia kikamilifu…

Read More

Serikali yaanza kujenga maabara za Kisasa Kilimanjaro,Shule elfu nne kunufaika

Wakati sayansi na teknolojia ikikuwa kwa kasi nchini, serikali imeanza utekelezaji wa ujenzi wa maabara za kisasa za Teknolojia, habari na mawasiliano(Tehama) mkoani Kilimanjaro, lengo likiwa ni kuongeza idadi ya vijana watakaoweza kushindana kwenye uchumi wa kidigitali. Maabara hizo za kisasa zitajengwa katika shule za sekondari zaidi ya 4000 ikiwemo za kata, katika mikoa ya…

Read More

SMZ kuongeza bajeti ya elimu hadi Sh1 trilioni

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imepanga kuongeza bajeti ya elimu kutoka Sh864 bilioni hadi Sh1 trilioni, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuongeza ubora wa elimu na kuimarisha miundombinu ya sekta hiyo nchini. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametangaza hatua hiyo leo, Desemba 5, 2025, wakati akifungua mkutano mkuu wa 13 wa…

Read More

Mrundi apewa rungu TRA United

MABOSI wa TRA United zamani Tabora United, wapo hatua za mwisho za kumtangaza kocha mkuu Etienne Ndayiragije, raia wa Burundi ili kukiongoza kikosi hicho msimu huu, huku akiachiwa msala wa kutafuta atakayekuwa msaidizi wake. Chanzo cha habari kutoka timu hiyo, kililiambia Mwanaspoti, Ndayiragije aliyezifundisha Mbao FC, Azam FC, KMC na timu ya taifa ya Tanzania,…

Read More