Watanzania wapania mzunguko wa pili Uturuki

WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na  Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe wamesema licha ya kuanza mzunguko wa kwanza vibaya, watahakikisha wa pili wanafanya vizuri. Nyota hao ndio pekee kutoka Tanzania wanaocheza soka la ulemavu kwa msimu wa tatu sasa tangu waliposajiliwa mwaka 2022. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Minziro kufyeka wavivu Pamba Jiji

PAMBA Jiji bado inajitafuta katika msimu wa kwanza wa kurejea katika Ligi Kuu Bara na sasa kocha wa kikosi hicho, Fred Felix ‘Minziro’ ameweka bayana atatembeza panga kufyeka wachezaji wote wasiojituma kupitia dirisha dogo litakalofunguliwa mwezi ujao na kufungwa Januari 15 mwakani. Pamba imerejea Ligi Kuu baada ya kuisotea kwa miaka 23 tangui iliposhuka mwaka…

Read More

Lishe duni kwa vijana inavyoathari afya ya uzazi

Dar es Salaam. Lishe duni ya vijana rika la balehe inatajwa kuwa chanzo cha matatizo ya afya ya uzazi miongoni mwa wanawake na wanaume. Upungufu wa virutubisho muhimu kwa watoto na vijana unaelezwa kuathiri via vya uzazi. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe, Wizara ya Afya, Neema Joshua anasema udumavu, uzito pungufu, ukondefu, uzito kupita…

Read More

Kutoka ukondakta hadi kucheza Yanga, JKT Tanzania

HISTORIA ya maisha ya mshambuliaji wa JKT Tanzania, Matheo Antony itakufunza kutoyakatia tamaa maisha, kwani wakati anasajiliwa Yanga msimu wa 2015/16 alikuwa anapiga mishe za ukonda wa daladala. Kwenye mahojiano yake na Mwanaspoti, amesema mwaka 2014 hadi mwanzoni mwa 2015 wakati anacheza KMKM alipiga sana mishe za ukonda wa daladala, pamoja na hilo amesema haikumzuia…

Read More