Matawi ya CRDB kufungwa kwa siku tatu nchi nzima

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na benki hiyo kwa umma, ndani…

Read More

Bado Watatu – 41 | Mwanaspoti

AFISA upelelezi akauliza kwenye simu:“Natumaini naongea na mstaafu Hashim Malick?”“Hapana. Unaongea na daktari mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza. Mzee Hashim Malick amepata ajali ya gari dakika chache zilizopita. Ameletwa hapa akiwa hajitambui pamoja na dereva wake.”Maelezo hayo yalimshitua afisa upelelezi.“Unasema amepata ajali ya gari?” akauliza.“Ndiyo. Gari lake limegongana na lori la mafuta, kilometa…

Read More