Askofu Shoo: Waliomshambulia Dk Kitima hawaitakii mema nchi

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima akisema ni tukio baya. “Tukio la kushambuliwa kwa Dk Kitima linashtusha, linasikitisha na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote na Watanzania. Yeyote aliyetenda unyama…

Read More

NJE YA UWANJA: Yanga, Simba zinabebwa na haya

Soka la Tanzania kwa upande wa klabu limetawaliwa zaidi na timu za Simba na Yanga. Hilo lipo wazi kwani hata ukiangalia listi ya mabingwa wa Ligi Kuu utapata jibu lisilokuwa na shaka ndani yake. Tangu mwaka 1965 ilipoanza ligi hiyo, Yanga na Simba ndiyo timu zinazoongoza kwa kubeba ubingwa mara nyingi Zaidi. Yanga ikiwa kinara…

Read More

Mratibu wa Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini New York, Ghulam Isaczai alizungumza kuhusu mabadiliko kutoka kwa Ujumbe wa muda mrefu wa Umoja wa Mataifa wa Misaada kwa ajili ya Iraq (UNAMI), ambayo ilihitimisha mamlaka yake mwezi Desemba, kwa ushirikiano na mamlaka za kitaifa zilizojikita katika maendeleo. “Kwa wale walioishi katika miaka ya mwanzo yenye matatizo…

Read More

Kauli za wadau na ripoti za waangalizi wa uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Wataalamu wa siasa na utawala bora wamezitaka mamlaka za uchaguzi nchini kuzingatia kwa umakini ripoti na mapendekezo yanayotolewa na waangalizi pamoja na watoa elimu ya uchaguzi, wakisisitiza kuwa wadau hao ni nguzo muhimu katika kujenga misingi ya chaguzi huru, haki na zenye amani. Kauli hiyo imetolewa zikiwa zimesalia siku tisa kabla ya…

Read More

Gamondi ashtukia mchongo, afanya maamuzi ‘KONKI’

YANGA ina uhakika mkubwa wa kuimaliza mechi ya marudiano dhidi ya Vital’O ya Burundi kwenye Uwanja wa Mkapa Jumamosi baada ya ushindi mabao 4-0 wikiendi iliyopita. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi mwili wake upo Dar es Salaam lakini akili ipo Addis Ababa, Ethiopia kwenye mechi ya marudiano ya CBE ya huko na…

Read More

WASIRA AKERWA NA WANAOTUKANA MITANDAONI KWA KISINGIZIO CHA UHURU WA KUTOA MAONI

Na Mwandishi Wetu,Songea  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uwepo wa demokrasia na uhuru wa kutoa maoni sio ruhusa ya kuvunja sheria, kutukana watu na kwamba anayefanya hivyo anastahili kuchukuliwa hatua ikiwemo kukamatwa na kuhojiwa polisi. Amesema lengo la uhuru ni kutoa maoni na kufuata sheria ambazo zimewekwa kuifanya…

Read More

DKT JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI JENGO LA WMA, ATOA MAAGIZO KUFANYIKA UKAFUZI MITA ZA UMEME

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Suleiman Jafo ametoa Maagizo kwa Wakala wa vipimo Tanzania(WMA) kutembelea maeneo yote yanayotakiwa kufanywa ukaguzi hususani wa mita za umeme kabla hazijafika kwa mlaji ili kupima uthibiti wa mita hizo,kwa lengo la kuwapunguzia gharama wananchi na kuepuka kulipa gharama isiyo sahihi. Dkt Jafo ameyasema hayo…

Read More